The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
tena wizi mkubwa sana, nashindwa kuelewa kwnn cc wananchi tunaukubali wizi, tatizo cc watz pia tumelala sn, hatupaswi kuto i challenge govt inapotokea unyonyaji wa kifala kama huu.Huu wa rufiji hydropower uendane na kuondoa kabisa shida ya kukatika kwa umeme na vilele kupunguza gharama ya malipo ya umeme kwa kuondoa vitozo vyote vya kutuibia wananchi,imagine kila unaponunua umeme mara ya kwanza kwanza kwa mwezi unakatwa elfu 4.5,huu ni wizi wa serikali dhidi ya wananchi