Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tembea duniani uone mashirika ya umeme yanavyo operate ndio utajua kuwa huu mfumo wa Tanesco haufai hata kidogo. Umeme upo kila sehemu lakini gharama za kunganisha ni kubwa people cant afford pia neglect ya transmission ndio chanzo kikubwa cha ufanisi mdogo umeme mwingi unapotea kwenye transmission.
Unapo unbundled not necessarily production na transmission wachukue private sector bali kwenye distribution tunaweza tuka invite private sector na Tanesco wawepo pia ili kuleta ushindani wakawa wanagombania wateja kwa kuprovide low tarrifs na hata kufungiwa umeme bure.
Kwanza, jifunze kitu kinaitwa "the best practice".
The best practice inayooperate kwako, kwangu inaweza isifanikiwe na inaweza ikawa ni mbovu zaidi (ineffective).. pili, umeenda mbali sana, eti duniani. Angalia kwa majiran hio ya the best practice ya "huko duniani", kwa jiran imefanikiwa?
 
Acheni mkumbo. Shida ya tanesco haipo hivyo, afu huko ni kuongeza matumizi yasiyokuwa na ulazima. Wakenya wenyewe wameligawa shirika lao hizo sehem tatu lkn wana shida zaidi yetu.

Tanesco nzima, mtu tukaemkumbusha aliekuwa na maono ya kutuondolea shida ndan ya miaka michache ijao licha ya upinzan uliokuwepo kutoka ndan na nje ya nchi ni Magu.. JNHPP.. huu mradi ni ukombozi mkubwa, (na kutuondolea zile kampuni au mikataba uchwara za kiufisadi). Kwa zile zogo za watu wa nje au eti kulinda democracy ya uchumi, mama angesurrender asubuh na mapema.

Hapa bado sijazungumzia suala la kutaka kujenga hydropower plants (kampuni za nje hazitii miguu yao humu) nyingi kuliko au kustopisha gas power plants (humu vikampuni uchwara vya nje ndo huwa zinafaidika sana)
Huu wa rufiji hydropower uendane na kuondoa kabisa shida ya kukatika kwa umeme na vilele kupunguza gharama ya malipo ya umeme kwa kuondoa vitozo vyote vya kutuibia wananchi,imagine kila unaponunua umeme mara ya kwanza kwanza kwa mwezi unakatwa elfu 4.5,huu ni wizi wa serikali dhidi ya wananchi
 
Huu wa rufiji hydropower uendane na kuondoa kabisa shida ya kukatika kwa umeme na vilele kupunguza gharama ya malipo ya umeme kwa kuondoa vitozo vyote vya kutuibia wananchi,imagine kila unaponunua umeme mara ya kwanza kwanza kwa mwezi unakatwa elfu 4.5,huu ni wizi wa serikali dhidi ya wananchi
Kila meter moja, kwa mwezi wanakata 2000/= ya kodi ya pango ya nyumba 😄 (sijui wanaiitaje hii lkn ni ya watu wa ardhi)
Ukilipia leo December afu ukalipia tena April mwakan, utalipa 8,000/= ya hio miez minne. Angalia receipt za malipo ya umeme utaona hili
 
Kwanza, jifunze kitu kinaitwa "the best practice".
The best practice inayooperate kwako, kwangu inaweza isifanikiwe na inaweza ikawa ni mbovu zaidi (ineffective).. pili, umeenda mbali sana, eti duniani. Angalia kwa majiran hio ya the best practice ya "huko duniani", kwa jiran imefanikiwa?
The best practice kwenye umeme ni separation ya production, transmission na distribution hiyo ndio best practice. Kuhusu hawa majirani wala usizungumzie nothing works kwao.
 
Kuhusu hii project ya $30B, kweli ipo. Ni Magufuli ndiye aliyekuwa akiwawekea kauzibe Exxon na Shell hadi baadhi ya congressmen walilalamika.

Soko la LNG ni kubwa sana hasa baada ya EU kuachana na gesi ya Urusi. Ila kwa Tanzania kufaidika na hii project ukiachana watu wachahche, si dhani.
Random question, what's the total value of natural gas reserves in Tanzania?
 
Elewa context we kilaza. Analinganisha hiyo fedha na GDP just to show how big the project is.
I compared the amount to your budget and he said my sentiments were not true because the amount is just 50% of your GDP. If you can't get his lack of understanding from that then you're no different from him.
 
Pia TANESCO linatakiwa liendeshwe kiufundi zaidi na sio kisiasa. Mama.e yule aliesema ndani ya miaka 5 iliyopita hatukuwa tunafanya maintenance alaaniwe milele yeye na wajukuu zake wote.
Haya, baada ya kusema hivyo.. wamefanya maintenance anazojua yeye, saiz yuko wapi?😄
Ni kweli hakukuwa na maintenance, kijana wao alipoingia tuu alianza na maintanace zifuatazo; kuweka sofware uchwara kutoka India, mikataba wa gesi ($42B, hello), kodi za nyumba kupitia LUKU, kufungulia maji mwa bwawani.
 
Kwenye mtandao wa reli tunaomba mtuache hatulingani.

Actually Tazania is more than that! Kumbuka kuna central Narrow gauge Railway (Dar-Kigoma 1254 km, Tabora-Mwanza 378 km, Dar-Tanga-Moshi-Arusha 436 km, Mpanda-Kaliua 210km), Cape Gauge Railway (Dar-Mbeya-Tunduma 969 km) na U/C Standard Gauge Railway (Dar-Mwanza + Tabora-Kigoma over 2000km)! We should be number 3 or 4!
 
Tembea duniani uone mashirika ya umeme yanavyo operate ndio utajua kuwa huu mfumo wa Tanesco haufai hata kidogo. Umeme upo kila sehemu lakini gharama za kunganisha ni kubwa people cant afford pia neglect ya transmission ndio chanzo kikubwa cha ufanisi mdogo umeme mwingi unapotea kwenye transmission.
Unapo unbundled not necessarily production na transmission wachukue private sector bali kwenye distribution tunaweza tuka invite private sector na Tanesco wawepo pia ili kuleta ushindani wakawa wanagombania wateja kwa kuprovide low tarrifs na hata kufungiwa umeme bure.
Hivi China ambao ndiyo wazalishaji wa kubwa wa umeme duniani wanatumia huo mfumo wa private sector kwenye uzalishaji na ugavi?
 
mchina anasema Dar port imeipiku Mombasa port!
3.00 01/03 kCu:/ X@m.qE 达累斯萨拉姆港口每天都有三四十艘货轮在排队等候进港卸船,坦桑尼亚达港已经超越肯尼亚的蒙巴沙港,成为东非地区最大港口。# 非洲 # 坦桑尼亚 # 港口码头 # 一带一路 https://v.douyin.com/i89bMkun/ 复制此链接,打开Dou音搜索,直接观看视频!
Hiyu mchina anafanya kazi kubwa sana aisee!! Apewe maua yake! Wachina wanaaminiana wenyewe kwa wenyewe. Wakimkubali tu watamiminika sana! Nawakubali sana! Halafu naona anawahamasisha sana wachina wa Fujian! Wafujian ndo kama wachaga huku kwetu! Mafighter kinoma! Halafu ni watu wakusafiri na kuweka kambi. Miaka kadhaa mbele kutakuwa na wachina-watanzania wengi sana.
Mchizi aliwahi kusema kwamba huu mji hatutawahi tukiona ukiendelea kama hivi, Cc Don YF njoo huku kima wewe 🤣🤣🤣 View attachment 2850725View attachment 2850727we kima Kimbg njoo ujionee big projects vile hukaa. 🤣🤣
Waweke sheria kama za China, usipo kiemdeleza kiwanja ndani ya mida Fulani, unanyang'anywa
 
Kila meter moja, kwa mwezi wanakata 2000/= ya kodi ya pango ya nyumba 😄 (sijui wanaiitaje hii lkn ni ya watu wa ardhi)
Ukilipia leo December afu ukalipia tena April mwakan, utalipa 8,000/= ya hio miez minne. Angalia receipt za malipo ya umeme utaona hili


56.1KWH



Cost 16,393.45
VAT 18% 2950.81
EWURA 1% 163.93
REA 3% 491.81
TOTAL 20,000.00

👆 mkuu angalia dhahama hilo,bado elfu 4 ni nyingi sana kwa kwa mwananchi wa kawaida
 
Back
Top Bottom