Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,755
At the moment more than 600bn dollars recoverable.Random question, what's the total value of natural gas reserves in Tanzania?
Hata JNHPP ikikamilika shida ya kunganisha umeme itakuwa pale pale maana hakuna competition utake usitake lazima uwaone tanesco uwapigie magoti ndio upate umeme kwasababu hawako business minded wao shirika likipata hasara haiwahusu mishahara yao iko pale pale ndio maana tuna low customer connection rate.Huu wa rufiji hydropower uendane na kuondoa kabisa shida ya kukatika kwa umeme na vilele kupunguza gharama ya malipo ya umeme kwa kuondoa vitozo vyote vya kutuibia wananchi,imagine kila unaponunua umeme mara ya kwanza kwanza kwa mwezi unakatwa elfu 4.5,huu ni wizi wa serikali dhidi ya wananchi
We kima how do you associate budget na investment. Investment ni ya private sector they are ones putting their money kwenye LNG sio serikali.I compared the amount to your budget and he said my sentiments were not true because the amount is just 50% of your GDP. If you can't get his lack of understanding from that then you're no different from him.
Kweli kabisaActually Tazania is more than that! Kumbuka kuna central Narrow gauge Railway (Dar-Kigoma 1254 km, Tabora-Mwanza 378 km, Dar-Tanga-Moshi-Arusha 436 km, Mpanda-Kaliua 210km), Cape Gauge Railway (Dar-Mbeya-Tunduma 969 km) na U/C Standard Gauge Railway (Dar-Mwanza + Tabora-Kigoma over 2000km)! We should be number 3 or 4!
How can you build a 30B terminal to handle 700M worth of natural gas? Wacha kufikiria kwa mkvndu malenge hii.🤣nenda google nyoko wewe! halafu bishana na wanaotaka ku-invest!
wacha kutujaza ujinga tembelea Ukunyani uone kitu kilivyo-fail! Usiwe mbumbumbu wa kuiga! angalia circumstances zako-split into three entities means 3 CEOs and all the managers!Hata JNHPP ikikamilika shida ya kunganisha umeme itakuwa pale pale maana hakuna competition utake usitake lazima uwaone tanesco uwapigie magoti ndio upate umeme kwasababu hawako business minded wao shirika likipata hasara haiwahusu mishahara yao iko pale pale ndio maana tuna low customer connection rate.
Halafu JNHPP haiwezi kufanya kazi bila improved transmission imagine una 2115MW lakini transmission iko weak ya low capacity 66kv, 132kv a few 400kv how do you expect to haul electricity from JNHPP with such infrastructure
Kumbe humu ndani tunabishana na machizi 700M kweli hii ndio value ya Tanzania LNG? Yani hata Rostam angeweza kuwekeza kama value ingekuwa hivyo this is Tanzania my friend the giant of East Africa.How can you build a 30B terminal to handle 700M worth of natural gas? Wacha kufikiria kwa mkvndu malenge hii.🤣
Sasa hapa nani anafikiria kwa kipumulio? Judge yourself 🤣🤣🤣How can you build a 30B terminal to handle 700M worth of natural gas? Wacha kufikiria kwa mkvndu malenge hii.🤣
Hivi do you really think Kenyans can do anything thst works hata uwape nini wanelaaniwa wale. Kenya is not a good example to us they put forward greed and corruption ndio maana things did nor work but ikiwa well managed and regulated things will work.wacha kutujaza ujinga tembelea Ukunyani uone kitu kilivyo-fail! Usiwe mbumbumbu wa kuiga! angalia circumstances zako!
si lazma kuiga upumbavu! Management costs lazma ziwe lower! Peleka huko hiyo idea!Hivi do you really think Kenyans can do anything thst works hata uwape nini wanelaaniwa wale. Kenya is not a good example to us they put forward greed and corruption ndio maana things did nor work but ikiwa well managed and regulated things will work.
Circumstances ndio hizo nilizozisema hapo mwanzo Tanesco is not pro business entity bado mentality yao iko kwenye provision ya services kama charity because the government is behind them to backup whenever needed, pili infrastructure za kusambaza umeme ziko weak na unreliable, tatu ugavi wa huduma kwao sio kipaumbele.wacha kutujaza ujinga tembelea Ukunyani uone kitu kilivyo-fail! Usiwe mbumbumbu wa kuiga! angalia circumstances zako-split into three entities means 3 CEOs and all the managers!
Yes they do na wamegawanya kwenye generation, transmission and distribution both private and state companies are involvedHivi China ambao ndiyo wazalishaji wa kubwa wa umeme duniani wanatumia huo mfumo wa private sector kwenye uzalishaji na ugavi?
Hata vat ilitakiwa iondolewe au ipunguzwe kwasababu ni biashara ya serekali i mean umma, haya leo ewura inafanya nn kwenye makato ya umeme?? Even REA inafanya nn kwenye makato ya umeme kuna vitu vingi sana haviko sawa kwenye hili56.1KWH
Cost 16,393.45
VAT 18% 2950.81
EWURA 1% 163.93
REA 3% 491.81
TOTAL 20,000.00
👆 mkuu angalia dhahama hilo,bado elfu 4 ni nyingi sana kwa kwa mwananchi wa kawaida
Hapo bado ukikata kwa mara ya kwanza ya mwezi wanakata na kodi ya jengo!Hata vat ilitakiwa iondolewe au ipunguzwe kwasababu ni biashara ya serekali i mean umma, haya leo ewura inafanya nn kwenye makato ya umeme?? Even REA inafanya nn kwenye makato ya umeme kuna vitu vingi sana haviko sawa kwenye hili
Sema nini mkuu kwenye hili suala private sector inaitajika ata wewe ukiangalia hamna shirika ata moja la serikali linalofanya kazi ya kuridhisha yote ni hasara tuu , hata hii sgr tunayotambia wasiwasi wangu mkubwa ni uendeshaji tuu, hata wewe nikikuuliza nitajie shirika hata moja la serikali linalofanya vizuri utakosa majibu sio kwa serikali hii ya ccm eti mkurugenzi akizingua shirika fulani unambadilishia kitengo ili hasipoteze kazi hatuwezi kufika aiseeAcheni mkumbo. Shida ya tanesco haipo hivyo, afu huko ni kuongeza matumizi yasiyokuwa na ulazima. Wakenya wenyewe wameligawa shirika lao hizo sehem tatu lkn wana shida zaidi yetu.
Tanesco nzima, mtu tukaemkumbusha aliekuwa na maono ya kutuondolea shida ndan ya miaka michache ijao licha ya upinzan uliokuwepo kutoka ndan na nje ya nchi ni Magu.. JNHPP.. huu mradi ni ukombozi mkubwa, (na kutuondolea zile kampuni au mikataba uchwara za kiufisadi). Kwa zile zogo za watu wa nje au eti kulinda democracy ya uchumi, mama angesurrender asubuh na mapema.
Hapa bado sijazungumzia suala la kutaka kujenga hydropower plants (kampuni za nje hazitii miguu yao humu) nyingi kuliko au kustopisha gas power plants (humu vikampuni uchwara vya nje ndo huwa zinafaidika sana)
Hapo ni kilimani, Nairobi yote kuna high-rise apartment construction boom 🏗️ 💥💥💥 that's the biggest thing happening now 🕺Hivi nyie hamna vitu vingine vya kupost zaidi ya vipicha vya majengo. Maana hata sioni kwenye hizo picha kuna nini cha ajabu.