Ndo mafanikio mnayopost humu sikuhizi 😂When you see any type of Bus in Tanzania, know it was in Kenya first or it was built in Kenya, Master, Banbros, AV, LHBS
View attachment 2850366View attachment 2850367View attachment 2850369View attachment 2850370View attachment 2850371View attachment 2850372
Ni ramsi sasa marekebisho ya uwanja wa Mkapa na Uhuru yameanza tukutane October 👇
View: https://www.instagram.com/p/C1KRJ4WiY2V/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==.
Viwanja vya Dodoma na Arusha wavifanye viwe vya soka pekee visiwekwe running track kwasabu vimetengenezwa kwa ajili ya soka, tupigeni kampeni wakuu.
Kwani talanta hawajaanza bado kuchimba hata msingi😅Safi sana, mm nilikuwa nashangaa sana, kwann uwanja wa uhuru haurekebishwi? Wakati unahitaji marekebisho kimtindo ili kuwa bora kama vingine? Yani apo roho yangu sasa imefurahi, haki ya mama hii nchi ina pesa, licha ya maujenzi kibao yanayoendelea lkn bado tunamudu kufanya mambo mengine makubwa.
Wakenya tafuteni level yenu mapema, sisi sio level yenu kabisaaa, by 2024 tutakuwa na viwanja 6 approved, Mkapa, Uhuru, Amani, Azam, Arusha, Dodoma. Baada ya hapo kabla ya 2027 viwanja vingine vitakuwa vimesharekeshwa mfano jamuhuri Morogoro, jamuhuri Dodoma n.k
So, by 2027 tutakuwa na zaidi ya viwanja 10 bora kabisa, wakenya wanashangaa mbona tumepaa ghafla namna hii na wala hatusemi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bado wanashangilia iko kwenye makaratasi🤣Kwani talanta hawajaanza bado kuchimba hata msingi😅
Yeah, si unajua Wakenya wako na akili ile ile wakiulizwa maswali na ukizingatia Nchi zingine za EA zimewapiga GapUnamaanisha responce ya stupid Murkomen!?
Bado wanashangilia iko kwenye makaratasi🤣
Jamaa ndo ThinkTank wao ati!Yeah, si unajua Wakenya wako na akili ile ile wakiulizwa maswali na ukizingatia Nchi zingine za EA zimewapiga Gap
Wewe acha, vitu mnafanya tulishafanya. Halafu mengi mazuri yajaNdo mafanikio mnayopost humu sikuhizi 😂
Sion mkizungumzia tena kuhusu currency, GDP, miradi mipya, BRT, SGR, etc
Labda kama ni SinkTank. 🤣🤣Jamaa ndo ThinkTank wao ati!
Sasa ndo watu wakae kivipi!?Amani stadium View attachment 2850477View attachment 2850478.Cc The best 007. Cheki maneno hayo mzee baba.
Wewe acha, vitu mnafanya tulishafanya. Halafu mengi mazuri yaja
View: https://youtu.be/RJvbUXbagvQ?si=Hob_AjL3T8XX-oFO
Sikuelewi unaulizia kuhusu nini.Sasa ndo watu wakae kivipi!?