Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mim ni mdau wa mpira. Hii taarifa si kweli
Ukweli ni kunyaland wapo 110, Tanzania tupo 121 (tumeimprove)
View attachment 2843594
FIFA Women ranking sio wanaume.
IMG_3428.png
 
We mpumbavu wacha kuokota okota picha google.. hakuna mitaa ya hivyo within Oster bay. Hakuna hata barabara moja enye haina lami.. muulize huyo ndugu yako alifika akajionea kwa macho
Kujifariji si mbaya
 
Stations zetu zina akisi mazingira husika ila za wenzetu zina akisi mazingira ya Shaolin temples 🤣🤣🤣
Mchina aliwapiga na kitu kizito mno kunyan,kawapiga kibruce lee kwenye sgr station,akaja kuwapiga kijet li kwenye vichwa vya treni akawapatia vilivyotumika kipindi cha hitler huko escape from sobibo,akaja kuwakomesha kwenye express way akawapigia shaolin temple la haja 😂
 
Mama inabidi aongee na Museveni vizuri maana hata SGR tuna nafasi kubwa kuwabadili Uganda mawazo! Yaani inapaswa yetu ifike Mpakani mwa Uganda na Tanzania pale Mutukula and the rest will set itself and be history!
Mwanzoni mi nilifikiri TRC walikuwa na mpango wa kuipeleka reli mpaka Bukoba ili kuwachombeza Uganda, maana kuna soko la Sudani ya kusini na pia.
 
Back
Top Bottom