Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ninaisubiri yani wamepigwa na kitu kizito nchi nzima wanafeel ganzi. Huyu mzee atakuwa kasanuka mengi sana na wengi watajirudi nakujiangalia mara mbili kwa namna walivyowachukulia jamaa wana roho mbaya sana.
Mama inabidi aongee na Museveni vizuri maana hata SGR tuna nafasi kubwa kuwabadili Uganda mawazo! Yaani inapaswa yetu ifike Mpakani mwa Uganda na Tanzania pale Mutukula and the rest will set itself and be history!
 
Mama inabidi aongee na Museveni vizuri maana hata SGR tuna nafasi kubwa kuwabadili Uganda mawazo! Yaani inapaswa yetu ifike Mpakani mwa Uganda na Tanzania and the rest will be history!
Mpaka hapo tumeshawapiga bao Uganda kachagua Yapi Merkez na anaweka mfumo wa train control wa ulaya ETCS ambao ni compatible na Tz pia Uganda ali delay rail yake ili aone nani yuko serious kati ya Tz na Kenya na nadhani wameshapata majibu tayari mfumo upi wa rail ni wa kisasa zaidi
 
Back
Top Bottom