Alafu wajue umo ndani kuna njia ya chini kwa chini kutokeza kwenye canopy yetu upande wa piliNakumbuka walivyoona hii render 👇View attachment 2842992na kipindi kituo kinaanza ujenzi, walisema hatutoweza kujenga kitu kama hicho. Kumbe Tz hatujawahi kukosea ..
wanaumia sana hata jukwaa lenyewe naona wamebakia watatu yle bwana MK254 siku hizi anashinda international kule huku hana hamu napo.Alafu wajue umo ndani kuna njia ya chini kwa chini kutokeza kwenye canopy yetu upande wa pili
Umu ndani nilikwisha sema kwa generation iliyopo na inayokuja apa tz wakenya watapata tabu sana watu saivi vichwa vimefunguka akuna wa kumpotezaWatatuambia vzr chai walikuwa wanatoa wapi, hii nchi imeilisha sn Kenya pumbavu hawa, mapato mengi yanayotokana na mazao kule Kenya ni matokeo ya wakulima wa Tz.
Nyei si ndio mlisema rail yetu aiwez beba double au sio nyie apo sojuu uliambiwa double stack inabebwa na Nini???
Ndugu kule kwenye uzi wa SGR wote walikimbia kama mateka na humu ndani siku zinakuja watainama tyuwanaumia sana hata jukwaa lenyewe naona wamebakia watatu yle bwana MK254 siku hizi anashinda international kule huku hana hamu napo.
naona hata nikipita nakuta ni picha gezaulole kaapdate na wengine ila kule mguu wamekata huku nawapa siku joka limeshuka kama utamwona mtu.Ndugu kule kwenye uzi wa SGR wote walikimbia kama mateka na humu ndani siku zinakuja watainama tyu
GoK imebidi i-rescue KQ!😅😅😅😅😅😅
![]()
Kenya settles $17m extra Kenya Airways debt
The state also guaranteed a $339 million loan for Kenya Power.www.theeastafrican.co.ke
mbombo ngafu mzee wangu kwa jirani wanatembea peku kwenye mkaa wa moto.GoK imebidi i-rescue KQ!
Unakumbuka hiyo quote ya Museveni niliahidi nitaitoa kauli yake ya kuanza mradi dhidi ya Kenya kuamua ku-boycott EACOP baada ya maamuzi ya kupita TZ ikitimia? Inaelekea siku si nyingi nitaitoa!naona hata nikipita nakuta ni picha gezaulole kaapdate na wengine ila kule mguu wamekata huku nawapa siku joka limeshuka kama utamwona mtu.
ninaisubiri yani wamepigwa na kitu kizito nchi nzima wanafeel ganzi. Huyu mzee atakuwa kasanuka mengi sana na wengi watajirudi nakujiangalia mara mbili kwa namna walivyowachukulia jamaa wana roho mbaya sana.Unakumbuka hiyo quote ya Museveni niliahidi nitaitoa kauli yake ya kuanza mradi dhidi ya Kenya kuamua ku-boycott EACOP baada ya maamuzi ya kupita TZ ikitimia? Inaelekea siku si nyingi nitaitoa!
La hasha!Umetumia kamusi maana kiswahili hii imekaaa ktz😁😁