Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Mara nyingi huwa nahakiki ninachotaka kupost kabla sijafanya hivyo. Thank youmbona unapenda kuweka picha bila source?
Mara nyingi huwa nahakiki ninachotaka kupost kabla sijafanya hivyo. Thank youmbona unapenda kuweka picha bila source?
Hii hapana yaani tutakuja kupigana miti sana kama hawa northerners 😜
Hii projection ya 2100, imekuwepo muda sasa. Na ukiangalia toka 2000 mpaka 2023 utaona teyari tumesha double population yetu, kutoka 34mil mpaka 68mil (kumbuka kwa sasa, 70% ya pupulation yetu ni chini ya miaka 30).Kwa nini? No way out growth rate ya Tanzania imekuwa wastani wa 3.2% na kumbuka ni exponential growth japo hapo Kuna chumvi pia.
Endeleeni kupigana miti ,mtatusaidia sana sisi ambao tuko kwenye farming enterprises kuwa millionaires miaka michache ijayo.🔥🔥Hii projection ya 2100, imekuwepo muda sasa. Na ukiangalia toka 2000 mpaka 2023 utaona teyari tumesha double population yetu, kutoka 34mil mpaka 68mil (kumbuka kwa sasa, 70% ya pupulation yetu ni chini ya miaka 30).
Hivyo mpaka mwaka 2100 tutakuwa tume double population (roughly) mara nne, sasa ukituondoa sisi, na wengine watakao zaliwa na kufa kabla ya 2100, ndo unapata hilo kadirio la 244mil
Umetumia kamusi maana kiswahili hii imekaaa ktz😁😁Yoyote hutumika Kwa vitu. Mfano: chagua habari yoyote unayoipenda kwenye hili jukwaa.
Yeyote inatumika kwa wanaadamu.
Mfano:Mtu yeyote anaweza barikiwa na Mungu kwa wakati wake.
Natamani nimekujibu ipasavyo
Tukimalizana na chai tuhamie kwenye bidhaa nyingine viko vingi home sweet home hii lazima wajue.Watatuambia vzr chai walikuwa wanatoa wapi, hii nchi imeilisha sn Kenya pumbavu hawa, mapato mengi yanayotokana na mazao kule Kenya ni matokeo ya wakulima wa Tz.
juu uliambiwa double stack inabebwa na Nini???si doublestack tena? 😆 😆 😆 👆👆👆👆