Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
🤣🤣🤣🤣 Unaijua barabara ya tope kweli we jamaa.? Kwamba hiyo ni barabara ya vumbi.?Kwamba hii hapa ni barabara ya lami?🤣View attachment 2843806
🤣🤣🤣🤣 Unaijua barabara ya tope kweli we jamaa.? Kwamba hiyo ni barabara ya vumbi.?Kwamba hii hapa ni barabara ya lami?🤣View attachment 2843806
View: https://twitter.com/UGHighCommDAR/status/1734944135277339075
View: https://twitter.com/UGHighCommDAR/status/1734944142256660793
View: https://twitter.com/UGHighCommDAR/status/1734944151509307851
View: https://twitter.com/UGHighCommDAR/status/1734944158643843311
View: https://twitter.com/UGHighCommDAR/status/1734944166009061764
MY TAKE
Nangoja kelele za the East African! 👆 👆 👆 😆 😆 😆
TAVI is an expensive procedure even in government hospitals. Usidanganywe na mtuTunataka kuona serikali yenu imefanya nini kwenye hospitali za umma?
Sio wananchi wote wanaweza waka afford matibabu Agakhan
Kwa hivyo hiyo barabara ni ya lami??🤣🤣🤣🤣 Unaijua barabara ya tope kweli we jamaa.? Kwamba hiyo ni barabara ya vumbi.?
Niumizwe na nini? Kilaza kama wewe unaiumize kichwa?Tatizo lako ww unawivu alaf unaumia sana
😅😅😅😅😅😅😅😅😅na katika vitu napenda mm nikuona vile unaumia
Huo ni mtazamo wako finyu. Sherehe za kitaifa zinahitaji hiyo running trackRunning track ya kazi gani kwa nchi that doesn't run? Tena Zanzibar of all the places
Typical African
Me mwenyewe ni mjeda tena "jey wii" kabisa na sina kadi ya uchafu unaoitwa CCM,Ngoja nikurudishe nyuma kidogoHujui kitu,hujiulizi Kwa nini Wanajeshi Huwa ni Wanachama wa ccm?
Open that link and read the article bongolala. Usiwe mvivuUnajua maana ya bila kufungua kifua?
Aliwashawahi kukwambia Simon kwamba hapo kuna jengo ni ofisi yao na akakwambia ukibisha mtume bibi ako apigenae picha hapo uone.Kwa hivyo hiyo barabara ni ya lami??
I give up on you bongolala
Hata mafuta yao hao nyangau yatapitia Tanga. Ni rahisi kupeleka bomba toka Turkana mpaka hoima kuliko kupeleka Lamu. Besides wawekezaji wenyewe kwenye blocks za Turkana wanataka mafuta yao yapitie kwenye EACOP. Kazi ipo hapo nyangau lazima anyoroke 🤣🤣🤣🤣kinachotokea Kenya was leading in service povision sector in the region! Saahii kuna Air Tanzania, Uganda airlines na Rwandair yaani ni maumivu na yatazidi pale Air Tanzania itaanza kwenda Europe na US! Tukija kwenye port services the same! Tanzanian ports r continuing to chip in Kenya's dominance! Mimi nangoja SGR to Mwanza na cargo ferries in Lake Victoria ziishe halafu tuone kabla ya line ya Kigoma na Burundi kukamilika! Dominance in oil products supply around the region ndo hivyo Uganda imekuja Tanzania na inajenga EACOP kutoka Hoima kwenda Tanga. Yaani ni maumivu juu ya maumivu! Kwenye utalii tushapindua meza siku nyingiii.....!!!
mpumbavu wa ukoo wa Sadima alias mwai sadima Dickson mwaiofhawaii njoo huku
hahah umesoma hiyo kwenye article? Hawana namna hata Nicxie na Teargas wanajua pipeline ni moja tu for all EAC member states! Na nilishawaambiaga hii maneno kitamboo kwamba South Sudan, DRC na mwisho wao watakuja tu!Hata mafuta yao hao nyangau yatapitia Tanga. Ni rahisi kupeleka bomba toka Turkana mpaka hoima kuliko kupeleka Lamu. Besides wawekezaji wenyewe kwenye blocks za Turkana wanataka mafuta yao yapitie kwenye EACOP. Kazi ipo hapo nyangau lazima anyoroke 🤣🤣🤣🤣
To add insult to injury, Total, which operates at blocks 10BB and 13T in Turkana (500 million recoverable barrels), has suggested that Kenya should forego its own pipeline and instead link its oil to the EACOP (Africa Intelligence, 2020). Nairobi, given Kampala's actions, has little wish to see Museveni's dream come closer to fulfilment by piping its own oil through Uganda via the Total-funded EACOP.
Unalazimisha hiyo barabara kuwa ni ya vumbi.? 🤣🤣🤣I can see your emotions are getting over the ceiling. Haiitaji hasira
30bln for New Mwanza Airport terminal building.
Swali,vipi Ile terminal building ya awali Ina shida gani Hadi iachwe?
View: https://www.instagram.com/p/C0yThY5tKMc/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Lazima uufyate ila ukijifanya Chadema utapoteaMe mwenyewe ni mjeda tena "jey wii" kabisa na sina kadi ya uchafu unaoitwa CCM,Ngoja nikurudishe nyuma kidogo
Miaka ya Nyerere ndio Wajeda na waajiriwA wote wa umma walilazimishwa kuwa wanachama wa ccm,kwa kubeba kadi ya Chama ilikuwa kama NIDA kwa sasa..........Punguza ujinga mzee
Yes but serikali huwa ina subsidise baadhi ya huduma unlike private sector.TAVI is an expensive procedure even in government hospitals. Usidanganywe na mtu
Hiyo itawauma sana sisi kupata mgao toka katika mafuta yao 🤣🤣🤣🤣hahah umesoma hiyo kwenye article? Hawana namna hata Nicxie na Teargas wanajua pipeline ni moja tu for all EAC member states! Na nilishawaambiaga hii maneno kitamboo kwamba South Sudan, DRC na mwisho wao watakuja tu!
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Na kama angekuepo mjomba huo mgao negotiation yake ingekua ni pasu pasu yaani 50/50 mamaae kama tumegundua sisi hayo mafuta 🤣🤣🤣🤣Hiyo itawauma sana sisi kupata mgao toka katika mafuta yao 🤣🤣🤣🤣