Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ohooo kenya Kwanza yajenga nchi Ohooo kenya kwishaa yajenga nch x 4

View: https://twitter.com/WizarayaUC/status/1731695190614667420



View: https://twitter.com/WizarayaUC/status/1731695233178407178



View: https://twitter.com/MbarawaM/status/1731694284846293145

GAg2v5RWgAAHmPw
 
Huyu ni mpakistan anaenda south Africa...ameanzia Kenya na kaingia Tanzania kupitia horohoro kule Tanga...
Bora amesema ukweli kuwa Tanzania roads are better than Kenyan roads...
Watu wanazidi kutoa ushuhuda na kuwasema wale wanaojiita most developed country in East Africa....
Itafika muda watakubali tu
 

Attachments

  • Screenshot 2023-12-04 093157.png
    Screenshot 2023-12-04 093157.png
    451.9 KB · Views: 4
Huyu ni mpakistan anaenda south Africa...ameanzia Kenya na kaingia Tanzania kupitia horohoro kule Tanga...
Bora amesema ukweli kuwa Tanzania roads are better than Kenyan roads...
Watu wanazidi kutoa ushuhuda na kuwasema wale wanaojiita most developed country in East Africa....
Itafika muda watakubali tu
Huyu jamaa ni mkenya nae alikua na road trip ya kunyalazy to SA,video anazopost akiwa TZ kuna wakenya wanaojielewa awaamini kama TZ iko vizuri namna ile kwenye barabara,kiufupi wamekubali
 

Attachments

  • db2f74c389cbfc830cd6b2fc0f4439db.mp4
    7.6 MB
Back
Top Bottom