Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,900
- 103,770
mimi pia nlipita jana nlitaka kuanza moto wa huku nami nikasoma comment nikaachaHuyo jamaa nilitaka kumuwashia moto ila nilivyosoma comments nikaona niuchune tu, watu wanamshangaa sana aisee.
Sijaelewa hapo Aliposema lifespan ya EACOP ni miaka 25.EACOPP 🔥
![]()
EACOP: Details of World’s Longest Heated Crude Oil Pipeline Revealed
By Tank Terminal News Details of what will be the world’s longest heated crude oil pipeline, carrying oil from Uganda to the Indian Ocean coast of Tanzania, have been revealed, showing how a cocoon of electrical and fibre-optic cables along its entire 1443 km length will provide heat and...chimpreports.com
Vyote hua unakurupuka humu leo hii unaomba ufafanuzi 😅😅😅🙌🙌🙌🙌Sijaelewa hapo Aliposema lifespan ya EACOP ni miaka 25.
Na wakati huo huo tunaambiwa kwamba huenda Bomba likaja kutumia na DRC,South Sudan na Uganda yenyewe in case ikagundua mafuta mengine zaidi.
Ufafanuzi please.
Ujumbe wako huu hapa kutoka Kwa Bimkubwa👇Vyote hua unakurupuka humu leo hii unaomba ufafanuzi 😅😅😅🙌🙌🙌🙌
msaada sasa amesema nasi tueleweVyote hua unakurupuka humu leo hii unaomba ufafanuzi 😅😅😅🙌🙌🙌🙌
Unato.mb.wa na wanga wewe 🤣🤣🤣🤣🤣Do I really care if you know someone from there or not? What i know most Scania trucks operating in Tz were and are assembled in Kenya by AVA.
Dodoma huwezi kulinganisha na mji wowote East and central Africa, ni mji wa kisasa, hakuna cha Dar, Nairobi wala mji wowote ule hapa EA unaoweza kubishana na Dodoma kama unabisha twende ground.Hawa watz hata wakijua ukweli hujifanya hawaoni .....wana mzaha mwingi sana. Wanaeza linganisha Mombasa hata na Morogoro......
View: https://twitter.com/azamtvtz/status/1727672233865146739
MY TAKE
kesho utaskia Ruto kakurupuka kwenda Spain!
Mombasa ndiyo mji unaoongoza kwa nyumba za udongo Africa.We mwanadamu unayejua mengi...niache na ukima wangu...lakini najua ukweli huuma. Ukiangalia vizuri upande wa kushoto kuna jumba la 20flr linaitwa J. Complex lina crane juu bado ilikuwa ikiundwa. Hili jumba lllimalizwa kitambo sana ndio kuonyesha picha zako n za kale. Kutoka wakati huo Mombasa imebadilika sana.
kuna moja nimeiona kwenye picha za mafurika sijui kama imebakia salama mapaka sasa.Mombasa ndiyo mji unaoongoza kwa nyumba za udongo Africa.
Wakilala ni tanzania na wakiamka ni tanzania
Yani wanaiogopa tanzania kuliko corona 😅😅
View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1727550076711567859?t=cwFH0rWB3cvmS3s4fMMC_w&s=19