Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo nani msimamizi? Pesa ipo Wizara ya Ujenzi na TanRoads ndio Wana procure wakandarasi makanjanja Kwa sababu wanahongwa.

Sasa hivi itawatokea puani

View: https://www.instagram.com/p/Cz-gFkVI_l_/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

Munataka kazi za mbiombio tu alaf mkiripuliwa kazi muanze kupanua pua zenu

Kila waziri sasa hvi kageuka kua chawa hata kama hakuna suala la muhimu atafanya liwe la muhimu kusudi tu lionekane

😅😅😅😅😅😅😅😅 itamtokea nani puani
Tanroad imefanya kazi ngapi kwenye nchi hii au unajua kupost hujui kusoma
 
Munataka kazi za mbiombio tu alaf mkiripuliwa kazi muanze kupanua pua zenu

Kila waziri sasa hvi kageuka kua chawa hata kama hakuna suala la muhimu atafanya liwe la muhimu kusudi tu lionekane

😅😅😅😅😅😅😅😅 itamtokea nani puani
Tanroad imefanya kazi ngapi kwenye nchi hii au unajua kupost hujui kusoma
Hakuna Cha mbio mbio, wakandarasi wengi wako nyuma ya mda na sababu ni kamfumo la upigaji na Rushwa pale Wizarani na TanRoads.

View: https://www.instagram.com/reel/Cz-h-hfoohn/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

Ukisoma ripoti za CAG utaona ambavyo TanRoads imeingiza hasara kwenye hii Nchi Kupitia riba za Kutengeneza na poor design.Jangwani na Kimara-Kibaha ni Baadhi tuu ya mifano Mingi iliyopo.
 
Huyo jamaa nilitaka kumuwashia moto ila nilivyosoma comments nikaona niuchune tu, watu wanamshangaa sana aisee.
Kunajamaa kule You tube anatwa EVANS FROM KENYA, nmeamua nimtembelee kidogo anajaribu kuichafua nchi yetu lakini ukisoma comments zinapingana nae,. na wanao comments sio wabongo.. na wanasema tz ni nchi salama sana kuliko kenya watu wakarimu sana na wasio taka makuu.. kiujumla.. yeye kwenye THUMBNAL zake ametarget sana kuipaka matope tz.. sasa naomba uyu jamaa alipotiwe kwa uhalifu... na inatakiwa tumpelekee moto wa gas...
 
Roads standards za kenya bhana 🤣🤣🤣 hii sasa ndio lami ya kupaka Reborn Ktb 👇
F_hwvySWAAAwikr.jpeg
F_hwvyUXgAAvx4t.jpeg
F_h-LcxWgAAFWjr.jpeg
F_h-LEAWoAA4Fb8.jpeg
F_hwvyTWUAAURdW.jpeg
they have just painted the black color and drawing the road marks 🤣🤣🤣. Ati ndio mnataka kushindana na sisi kwa barabara
 
Back
Top Bottom