Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijaelewa hapo Aliposema lifespan ya EACOP ni miaka 25.

Na wakati huo huo tunaambiwa kwamba huenda Bomba likaja kutumia na DRC,South Sudan na Uganda yenyewe in case ikagundua mafuta mengine zaidi.

Ufafanuzi please.
It seems tentatively it can pump oil for 25 years risk free but could go beyond that albeit with some risk involved.
 
Naona jana mulimlisha chokaa akarudi na id nyingine ya kulia maana id zake zote ni machozi tu 😅😅😅😅
Hile ID ingine ni kama ilikuwa inakera admin sana akaiblock. But who is I came with another one bearing the same name.
 
Back
Top Bottom