Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Is AVA a car brand or what wewe kima?
AVA is a body builder and assembler. They're in partnership to assemble Scania vehicle for East African market.

Screenshot_20231122-170912_2.jpg
 
Kwahyo hizo nyumba mmezivunja nowdays au.? 🤣🤣🤣 hizo zapatikana Mji wa kale(old town)

Kwahyo hizo nyumba mmezivunja nowdays au.? 🤣🤣🤣
Hizo nyumba kuu kuu hupatikana mji wa kale(old town)...na zimekuwa zikihifadhiwa kwa miaka mingi kama historia...ni sehemu ya UNESCO world heritage sites(https://worldarchitecture.org/architecture-projects/hefgh/old-town-mombasa-mud-project-pages.html). Kama sivyo zingekuwa zimebomolewa kitambo. Mbali na huko.. kuna mji wa kisasa pia wenye majumba ya kisasa.
 
Hey Mr haywire unataka na mimi nikuletee communication kama hiyo from Scania Tanzania cause I know someone too.
Do I really care if you know someone from there or not? What i know most Scania trucks operating in Tz were and are assembled in Kenya by AVA.
 
Hizo nyumba kuu kuu hupatikana mji wa kale(old town)...na zimekuwa zikihifadhiwa kwa miaka mingi kama historia...ni sehemu ya UNESCO world heritage sites(OLD TOWN MOMBASA MUD). Kama sivyo zingekuwa zimebomolewa kitambo. Mbali na huko.. kuna mji wa kisasa pia wenye majumba ya kisasa.
Mwanzo ulisema kama hizo picha ni za zamani to mean that kwasasa hilo eneo halipo hivyo, correct.? Sahii unadai eti na nyumba za zamani na mnazitunza 🤣🤣🤣🤣🤣 nikuelewe vipi.? Wacha kujichanganya we kima..
 
Bado, hujaijua Mombasa. Kisha muache kuvitaja vijiji Dodoma na Mwanza. Kidogo Arusha inakubaliwa. Watu tu wazima acha kujidhalilisha na vitu za kijinga kama Dodoma na Mwanza. Sio eti Arusha nzuri, lakini kiasi kidogo imepiku vijiji hivyo vingine.
Nasema hivyo sababu nimefika hizi Town zote. Achani bana ni aibu.

Haya, Mombasa yenyewe. Mtu angeweza itisha hii battle!!!!
View attachment 2790465
Hawa watz hata wakijua ukweli hujifanya hawaoni .....wana mzaha mwingi sana. Wanaeza linganisha Mombasa hata na Morogoro......
 
Back
Top Bottom