Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaweza vipi kushindana na Tz likija suala la buses. Sio private sector wala public, kote huko hatushikiki. Heb cheki 👇View attachment 2812431View attachment 2812433hizi BRT buses pekee are more 300. Hiyo ni kwa phase 1 tu.. phase 2, phase 3 and phase 4 are under way, while phase 5 n phase 6 soon zitaanza ujenzi. ichoboy01. Hawa vima hawatuwezi Leo na wala hawatotuweza kesho mana hizi basi hamna hamna hadi tumalize phase zote zitakua zimeshafika 3000+ wao wapo busy kutuonyesha vibasi 20. 🤣🤣🤣 Haya ukija mabasi ya masafa marefu Tz kuna Kampuni 100+ yani kwasasa Tz ukihesabu mabasi ya mkoa tu unaweza kuta yanafika 2500-3000. Na kampuni mpya zinasajiliwa kila siku. Kuna kampuni mpya nimeiona pale urafiki juzi, nikapata wasaa wa kupita maeneo yale nitapiga picha gari zao
where the makwapas meet....this thing is still a big fail
 
Unaweza vipi kushindana na Tz likija suala la buses. Sio private sector wala public, kote huko hatushikiki. Heb cheki 👇View attachment 2812431View attachment 2812433hizi BRT buses pekee are more 300. Hiyo ni kwa phase 1 tu.. phase 2, phase 3 and phase 4 are under way, while phase 5 n phase 6 soon zitaanza ujenzi. ichoboy01. Hawa vima hawatuwezi Leo na wala hawatotuweza kesho mana hizi basi hamna hamna hadi tumalize phase zote zitakua zimeshafika 3000+ wao wapo busy kutuonyesha vibasi 20. 🤣🤣🤣 Haya ukija mabasi ya masafa marefu Tz kuna Kampuni 100+ yani kwasasa Tz ukihesabu mabasi ya mkoa tu unaweza kuta yanafika 2500-3000. Na kampuni mpya zinasajiliwa kila siku. Kuna kampuni mpya nimeiona pale urafiki juzi, nikapata wasaa wa kupita maeneo yale nitapiga picha gari zao
These guys are jokers they come out here kifua mbele ku parade upuuzi wao kama ile state of the art green terminal, canopy ya JKIA and bus go ambazo hazifiki 20 nchi nzima. I think you can see what sort of people tunao discuss nao humu ndani.
Nimeshindwa kujizuia kucheka 🤣🤣🤣. Hivi nyie nyang'au mlitumia kiasi gani kufanya renovations hapo?? Just asking for a friend


View: https://twitter.com/MwangoCapital/status/1724061336978501798?t=UrdRS9b4IdmzYku7PTa_fw&s=19

Hivi ni roof inavuja ama ni canopy ndio matatizo 🤣🤣🤣
 
Matuta ya standard na cape gauge hayafanani, huwezi tuu kufumua na kubandika reli moja na kuweka nyingine. Pili, Tazara walitumia cape guage sababu nchi zote za kusini mwa Afrika (SADC) wanatumia standard hiyo.

Kwa cape gauge, unaweza kwenda Harare, hadi Cape Town kutokea Dar, hivyo kuibadilisha TAZARA kuwa SGR itakuwa ukifika kapiri mposhi mchezo umeisha. Kwa ushauri wako, hata ile train ya utalii ya ROVOS haitaweza kufika tena Tanzania na mama Samia atakufukuza kazi yako ya kupiga domo, maana unatoa ushauri mbovu kwenye sera zake za utalii.
Sababu zingine Zina mashiko ila Hilo la tuta haliingii akilini.

Mimi sio mtaalamu wa mambo ya reli lakini Kwa common sense tuu cape gauge ni mwendo mdogo na pressure kubwa kuliko Sgr hivyo tuta lake lazima lihimili pressure kubwa Kwa kanuni ya small area higher pressure and vice-versa.
 
Watu wanapoona tuta la reli wanafikiri watu walijiamulia tuu kujaza udongo kama vile wanalima matuta ya mihogo.
Kuhusu tuta umepiga kamba ,kwamba tuta la cape gauge haliwezi kubeba uzito wa Sgr ya diesel kama ya Wakenya?

Weka sababu ya kitaalamu tuone
 
Vitu Piruu kutoka Shabiby line

View: https://twitter.com/Fundi_machejo/status/1724263085437804697?t=IL1Ddh0iKxiMVw7wVa3Zdw&s=19
-1288557047.jpg
-1991953648.jpg
 
Back
Top Bottom