Kwani nikisema Chinese boxes are cheap ni uongo? The cost of one Isuzu bus can buy two new Chinese buses that are in Tz.
ISUZU FOR REAL, unajua why hatuna ISUZU ni kwa sababu huwezi pata Abiria kabisa. Kitu gani hakina hata sehemu ya kuweka Maji, Body ya miaka ya 2000s, sasa hapa ni Mfanyabishara gani atalibeba, that factor ndio inafanya Tuchukue Scania, Marcopolo na Benzi, they need to look good. Na huyo Sauli wa Scania basi zake zikianza kuchakaa hatupandi.
Sikia Kwa sababu umezoea fuso kama bus, kwenda ISUZU unaona Anasa. Sisi huku tunaangalia huduma. Ndio maana hakuna mataka taka yenu huku, Even basi za ruti za Nje, anatakiwa kujipanga kweli.
Ndio maana kila mkoa standard za bus ni zile zile. Kingine mchina yupo na business nzuri ukiweka oda kuna zingine unaongezwa kama mkopo kuweza kujihimili vizuri, good for business.
Sasa tubebe ISUZU? spea wapi? Basi bayaa, tumezoea ISUZU yashapitwa na fashion yalikua zamani ndio utuletee leo, Nadhani ISUZU BUSES pekee tunazoweza kuvutiwa ni zile zilizo official website ya ISUZU sio hayo makarai yenu.
Alafu kuna kitu sielewi kila Marcopolo mnaropoka ni yenu. Alafu cha ajabu huko kwenu za kuhesabu, mostly ni makarai.