The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ukweli upi? Fuatlia thread kwanza usivamie bila kupitia vya juu.Mi mbongo mkuu nipo dsm ila napenda kusimamia ukweli
Ukweli upi? Fuatlia thread kwanza usivamie bila kupitia vya juu.Mi mbongo mkuu nipo dsm ila napenda kusimamia ukweli
Nakuambia fuatlia kwanza, wacha kuparamia mambo, hii thread imeanza 2017, ina miaka mi5 sasa wkt huo wewe haupo.Saivi mnadeal na nn?
We njuka karibu. Kua mpole humu Hatujadili habari za vizijiweni, humu facts tu. Huna facts wacha kuongea fantasies.Mi mbongo mkuu nipo dsm ila napenda kusimamia ukweli
Hao chokoraa kulikoni !!!!!Ulinzi FC Stadium
View attachment 2797598
HAHAHAHAHAHAAAAA TZ ni SI Unit kwao TOPESTANHii kitu tumemaliza, ni hivi ili Kenya iwe relevant ni lazima ijipambanue na Tanzania, hii sasa imetambaa toka kwenye country to individual levels. Hadi wasanii wa Kenya ili awe relevant ni lazima ajilinganishe na Wasanii wetu, ila sijawahi sikia msaani mkubwa wa bongo anajilinganisha na msaani wa Kenya, tumeona juzi ile bouncer na stunts za Bongo, yaani inajua Bongo music industry kuliko inajua ya Kenya, ile masikio kigeugeu eti nayo inasema imewahi kuwa kubwa kuzidi Diamond na Alikiba……..wonders shall never end😅😅😅
Anyways, kiufupi Bongo ndio SI Unit ya maisha ya Kenya, kila kitu wanafanya kuangalia Tanzania inafanya nini, yaani ni kama bila Tanzania Kenya haipo, na huu ndio ukweli. Au mnabisha tuzime data?🤪😅😅
Even uchafu bus stand ni ardhi ya mtu binafsi hahahaha nchi imelaaniwa na nani??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Malori yanakula vichwa vya watu waliochanganyikiwa na maisha
View: https://twitter.com/ntvkenya/status/1718855861828002132?t=UWyJ5KrOmXinJXH_2fFSrQ&s=19
View: https://twitter.com/NationAfrica/status/1718855466892021815?t=TZCG9v8esABxjXzSBudpAw&s=19
Ukweli gani?😁Mi mbongo mkuu nipo dsm ila napenda kusimamia ukweli
Ifike mahali tuwaonee huruma hawa kondoo.
Ona namna serikali yao inavyo wapa vichapo. 😂😂😂
View: https://x.com/kinjeketile/status/1718904534792110453?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Kabali yenu kunyan tushajua iko wapi 😂I just ordered this book on amazon…..am very curious on the part about his ailing … hopefully I will see something about the airlift to Nairobi hospital…🤣🤣🤣View attachment 2798360
Tusisahau jamen. Hii ni matunda ya mama 👏👏👏
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1719021338000556359?t=3jAsnfCtX_QMmvP4sEEUMQ&s=19
Uwanja uko kwenye ukarabati mkubwa na utamalizika August July, 2024. Mwache ajifurahishe.Wewe ni mpumbavu ngazi unaita unaita seats? So unataka the stairs za plastic au mbao?
Unayejidharau😁😁...na pia mm mtanzania ...
Tusisahau jamen. Hii ni matunda ya mama 👏👏👏
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1719021338000556359?t=3jAsnfCtX_QMmvP4sEEUMQ&s=19
Ndio maana wanashinda wakiyapost. Rare sights.😂Mimi ni mtanzania ila ukweli usemwe hizi range kanda ya kaskazini (arusha, moshi, n. K
) ipo hii moja tu ya William tarimo basi huku dar zipo 5 tu bongo nzima haizidi 7 approx.
Kwa research yangu ila kenya haya mandinga ni mengi sana aseeh ukweli use
EACOP Tanzania ndio lion's share owner, NairobiWalker ulisema huu mradi utaanza 2030, hapa vipi?
View: https://www.youtube.com/live/f8CMzymCTxI?si=5wNIo-5-OpxZYAL3