Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa render ubarikiwe 🤣🤣🤣🤣🤣
I just posted once… hii hapa mlipost for two months…🤣🤣🤣🤣😄
IMG_1537.jpeg
 
Bana hapo umeweza!!
Look at Kasarani. Yaani the moment Kasarani gets a good roof, No Stadium will come close in East and Central Africa.
60 000 seater. Wakowapi walidhani Kasarani haina viti!? Tena viti vizuri na Floor safi. Floor ya Mkapa nimechapa unadhani ya 1920.
View attachment 2798141View attachment 2798142View attachment 2798143View attachment 2798144View attachment 2798145View attachment 2798146
CAF hawautambui, usifosi mambo, uwanja wa 60's uje kulinganisha na uwanja wa 2000s una kichaa? Kuhusu stadiums, soccer hatushindani na yeyote EA.
 
🤣🤣🤣 Mzee lame excuse yako ya viti kupauka ni ya kipuuzi big time, Viti vya kasarani ni vipya na vimewekwa mwaka huu huu, Mkapa stadium haina renovation ya hivyo vitu since uwanja uzinduliwe 2007 . Ni 16 years now unategemeaje visipauke.? Wait kuna renovation kubwa inaendelea nadhani itaisha mwaka ujao mapema tu viti vyote vinang'olewa na kuwekwa vipya.
Wameweka viti juzi, tena baada ya kuona wanatukanwa na watanzania ndio wameweka, basi ndio wanapata guts za kulinganisha na Mkapa 🤣🤣🤣🤣

Eti maandalizi ya AFCON ndio wameweka viti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahah hili si la dsm tena huyu tajiri anajihusisha na mambo ya hardware kkoo. Na hii photo najua umeitoa account hii ig 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
View attachment 2798375
Numekuuliza swali ulijua anayo au wapi umekutana nayo 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇
Screenshots_2023-10-30-22-31-58.png
Screenshots_2023-10-30-22-31-46.png
Screenshots_2023-10-30-22-29-58.png
Screenshots_2023-10-30-22-30-15.png
 
Hahah hili si la dsm tena huyu tajiri anajihusisha na mambo ya hardware kkoo. Na hii photo najua umeitoa account hii ig 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
View attachment 2798375
Waambie wakuoneshe velar ya 2023 wakipata nitag na mm 🤣🤣🤣🤣 hata na ww unaeza wasaidia
Screenshots_2023-10-30-22-32-37.png
 
Back
Top Bottom