ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Zinaonekana hapo ww unaona nn ?? Hebu tueleze hapo ww unaona nn km zaidi ya 25🤣Sasa kama magorifa za Posta zinaonekana kwenye hiyo picha za Upanga zitakosekosaje kuonekana na tunajua Posta na Upanga zinapakana?
The point is, picha moja umecover kila kitu cha maana Dar. Ile ya South C niliyopost Kilimani haionekani hata kidogo
Dar nikubwa mara tatu ya nairobi yani hili weka akilini ndio maana dar huwez kumaliza kwenye picha moja never
Ww picha moja kila kitu ndani na kinaonekana clear alaf unataka kufananisha dar na nairobi kweli??🤣🤣🤣🤣