Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mikebe mnapost hapa!? We acha bana. Mambo haya si magumu. Kuangalia tu. Nilipost hapa mabasi mawili tu, nikawauliza mlete basi Tz nzima mfano wake, si mlishindwa!?
Ama unataka nirejelee unijibu!?
We ni kichaa kweli .. Sasa unategemeaje kujibiwa 2 buses kwa kampuni 100+ za mabasi in Tz .? Tafuta watu wa burundi mujadili hii mada, ni aibu kwa mtanzania kujibizana na mkenya kuhusu usafiri.
 
Tofauti ni kuwa Nairobi bado mnasafiri kwenye canters na isuzu trucks as we speak, wakati Dar have transformed and still transforming.
Shida ipo wapi na Isuzu!?
img_16_1697994599871.jpg
img_2_1697993363528.jpg
 
Yea, May be from Tandale, However I have visited Nairobi more that 10 times, Mombasa thrice , visited also Uganda, North Africa, Southern Africa and Europe and still traveling . Wewe umesafiri wapi ?
How will this stop KQ from having the best economy class service in Africa, skiza NBO is a regional hub therefore its a must you will visit on the other hand dar is unimpressive to me.
 
We ni kichaa kweli .. Sasa unategemeaje kujibiwa 2 buses kwa kampuni 100+ za mabasi in Tz .? Tafuta watu wa burundi mujadili hii mada, ni aibu kwa mtanzania kujibizana na mkenya kuhusu usafiri.
Si unaona!? Huelewi hata.
Kati ya hizo kampuni 100, ambapo Kenya kuna zaidi ya 1200, za mikoani, nilitaka mchague ile ina mabasi bora zaidi. Mje nayo
 
Sasa mzee wangu usafiri wenu bora huko kwenu ni matatu while usafiri bora in DAR ni BRT buses, sasa utajilinganishaje na sisi kiazi wew.? Daladala zipo ndio, lakini sio usafiri wetu bora. Hatuwezi kuwa na battle ya aina hiyo.
Sasa wewe, ndiwe unapanga usafiri bora Nairobi uwe matatu na Dar uwe BRT!? Mbona akili za kitoto!?

1. Nairobi in DMU Zaidi ya 6, kama hizi hapa moja 36, ingine 37
images (27).jpeg
images (28).jpeg


2. Commuter buses
images (30).jpeg
images (31).jpeg


3. Shuttle buses for terminal reach
images (34).jpeg
images (33).jpeg
images (32).jpeg

Hivi vitu ilivisikia ama kuviona Dar!?
 
Si unaona!? Huelewi hata.
Kati ya hizo kampuni 100, ambapo Kenya kuna zaidi ya 1200, za mikoani, nilitaka mchague ile ina mabasi bora zaidi. Mje nayo
🤣🤣🤣 Fala kweli wewe, tuanzie hapa, taja kampuni za mabasi walau 50 na upost hapa basi zao, kwa mfano hizi hapa kampuni tatu za mabasi Tz ambapo kila kampuni inamiliki more than 30 buses 👇1
20231011_225640.jpg
20231011_091358.jpg
2👇 kimbinyiko
F2scJqnW4AEbVUt(0).jpg
F86AUkAWIAAi70K.jpg
3 Shabibi bus company 👇
View: https://youtu.be/-RVJdRIOQ6Y?si=z0X6Tu2LFYaAoO8U. Skia hizi ni kampuni tatu tu na zinamiliki buses almost 100. Sasa vipi nilitaka hata kampuni 50 tu.? 🤣🤣🤣. Sisi huku👇 hatuzungumzii huu upuuzi 👇
Screenshot_20231011-204314_2.png
.. hii discussion tafuta watu wa burundi mujadili ndio level zenu.. au ulikua inamaanisha vikampuni vya hizo matatu na hizi scraps metals?
 

Attachments

  • 4F2E5B53-6EB8-453E-AAAE-A8F39DB340A3.jpeg
    4F2E5B53-6EB8-453E-AAAE-A8F39DB340A3.jpeg
    540.1 KB · Views: 11
  • 1D1B009C-B2FD-44AC-BAF4-E5F71CA0B06E.jpeg
    1D1B009C-B2FD-44AC-BAF4-E5F71CA0B06E.jpeg
    97.2 KB · Views: 8
  • 0ECDF096-1613-49C3-B08C-4358F397A542.jpeg
    0ECDF096-1613-49C3-B08C-4358F397A542.jpeg
    74.2 KB · Views: 10
  • A1848AC0-B66E-4FC0-80E3-2BA679A4229B.jpeg
    A1848AC0-B66E-4FC0-80E3-2BA679A4229B.jpeg
    61.3 KB · Views: 12
  • ADBEF4B1-805E-4BAA-AE98-DF82A0D282FF.jpeg
    ADBEF4B1-805E-4BAA-AE98-DF82A0D282FF.jpeg
    692 KB · Views: 11
  • FF04749E-F5FC-4C23-ACBD-8B17BD2B35DE.jpeg
    FF04749E-F5FC-4C23-ACBD-8B17BD2B35DE.jpeg
    140.5 KB · Views: 8
  • A4DFB973-FF03-4684-AE1C-78CAE231C98F.jpeg
    A4DFB973-FF03-4684-AE1C-78CAE231C98F.jpeg
    96.3 KB · Views: 13
  • 171ABDF8-E642-483A-AE0F-D0E56F0B3DDE.jpeg
    171ABDF8-E642-483A-AE0F-D0E56F0B3DDE.jpeg
    221 KB · Views: 10
  • BCBAE35D-F8C5-49F3-B06C-233D8081E4B3.jpeg
    BCBAE35D-F8C5-49F3-B06C-233D8081E4B3.jpeg
    135.4 KB · Views: 11
  • 92A87064-EA6F-4804-8258-049A114DB9ED.jpeg
    92A87064-EA6F-4804-8258-049A114DB9ED.jpeg
    230 KB · Views: 10
Air Tanzania has 17 brand new planes, na imefufuliwa juzi tu hapa, kq ina only 3 oldest planes na since uhuru ina operate, wakenya hamna akili.
Watanzania huwa mna shida. Unavyo fikiria ndivyo unataka mambo ya ifanane. Yaani mko dunia yenu ambayo facts na ukweli ni mchungu hadi mnajiaminisha chenye mnawaza.
 
Watanzania huwa mna shida. Unavyo fikiria ndivyo unataka mambo ya ifanane. Yaani mko dunia yenu ambayo facts na ukweli ni mchungu hadi mnajiaminisha chenye mnawaza.
Wewe huoni kwamba hamna akili? Hata tukisema ndege 20 zote ni za kq, huoni kama bado hamna akili? Tangu uhuru shirika lina operate lkn lina ndege 20 tu, air Tanzania imefufuliwa juzi tu hapa now ina ndege 17 na nyingine zinakuja.
 
🤣🤣🤣 Fala kweli wewe, tuanzie hapa, taja kampuni za mabasi walau 50 na upost hapa basi zao, kwa mfano hizi hapa kampuni tatu za mabasi Tz ambapo kila kampuni inamiliki more than 30 buses 👇1View attachment 2790623View attachment 27906242👇 kimbinyikoView attachment 2790636View attachment 27906373 Shabibi bus company 👇
View: https://youtu.be/-RVJdRIOQ6Y?si=z0X6Tu2LFYaAoO8U. Skia hizi ni kampuni tatu tu na zinamiliki buses almost 100. Sasa vipi nilitaka hata kampuni 50 tu.? 🤣🤣🤣. Sisi huku👇 hatuzungumzii huu upuuzi 👇View attachment 2790648.. hii discussion tafuta watu wa burundi mujadili ndio level zenu.. au ulikua inamaanisha vikampuni vya hizo matatu na hizi scraps metals?

Wewe bana acha bezo na mzaha. Sasa hii mikebe ndo unaleta hapa??
Ena coaches pekee wako na buses over 100. Acha mchezo.
Tufuta basi za hadhi uje. Hizo umepost ni usual things
Best_Buses_to_Western_Kenya_Ena_Coach-768x450.jpg
images (36).jpeg
images (35).jpeg
 
Wewe huoni kwamba hamna akili? Hata tukisema ndege 20 zote ni za kq, huoni kama bado hamna akili? Tangu uhuru shirika lina operate lkn lina ndege 20 tu, air Tanzania imefufuliwa juzi tu hapa now ina ndege 17 na nyingine zinakuja.
Bana nyinyi ndio hamna akili, siku zote watu wakiwa na ndege nyinyi mlikuwa mnafanya nini!? Rwanda iwe na airlines nyinyi bado, mlikuwa mwafanya!?
 
Allow me to remind these Kundustans on this,
Kama kuna maeneo hamtakiwi kujichanganya kwa TZ ni
1. Public transport and its infrastructure
2. Sports and entertainment, michezo kama Mlira wa miguu, ndondi nk
3. Food, Agriculture, Nutition
4. Women, Night life,
5. Healthy service and delivery
6 . Tourism
7. Military
8. And many more

Mjikite kwenye English Langage, gdp nk. Hapa ndio you are ahead of Tanzania.

This I tell you, you will never win this.
 
Back
Top Bottom