Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe huoni kwamba hamna akili? Hata tukisema ndege 20 zote ni za kq, huoni kama bado hamna akili? Tangu uhuru shirika lina operate lkn lina ndege 20 tu, air Tanzania imefufuliwa juzi tu hapa now ina ndege 17 na nyingine zinakuja.
Tena hizo ndege ni zile walizoiba East African Airways ilipovunjika😁😁
 
Sasa wewe, ndiwe unapanga usafiri bora Nairobi uwe matatu na Dar uwe BRT!? Mbona akili za kitoto!?

1. Nairobi in DMU Zaidi ya 6, kama hizi hapa moja 36, ingine 37
View attachment 2790634View attachment 2790635

2. Commuter buses
View attachment 2790639View attachment 2790640

3. Shuttle buses for terminal reach
View attachment 2790642View attachment 2790643View attachment 2790645
Hivi vitu ilivisikia ama kuviona Dar!?
🤣🤣🤣🤣 Hizo basi za umeme zenye mnaita BRT zipo ngapi uko kwenu.? 🤣🤣🤣 Kwenye vita mabomu unakujaje na kisu.. BRT buses ni system Bro, I'm talking about 400+ buses and more to come.. barabara zote kubwa DAR zinapigwa BRT lanes. We ni fala nini wewe.? Halafu nani kakwambia DAR hakuna treni.? Bro Dar ni mji ambao uko na aina tofauti tofauti za usafiri for it's people to navigate.

1. Vivuko
10(1).jpg
azam-pic-data.jpg
WhatsApp-Image-2022-06-13-at-5.01.22-PM-8.jpeg

2.boti
EwRFtNgWQAApBKt.jpg
Zanzibar-Dar-Es-Salaam-Ferry-02.jpg
3.BRT buses 👇
aca0e6196356a48c16ad768fe5833ab8.jpg
20230624_172114.jpg
.. 4. Commuter train👇
treni.jpg
5.daladala 👇
thumb_1698_800x420_0_0_auto.jpg
moizhusein_1642362358564478.jpg
. Halafu skia stendi za hizi daladala in DAR are all better than your international Green Park bus terminus. 🤣🤣🤣 Nimeona nikutie adabu usirudi tana.
 
Wewe bana acha bezo na mzaha. Sasa hii mikebe ndo unaleta hapa??
Ena coaches pekee wako na buses over 100. Acha mchezo.
Tufuta basi za hadhi uje. Hizo umepost ni usual things
View attachment 2790686View attachment 2790688View attachment 2790689
🤣🤣🤣 Kampuni ya basi nne+ daladala unaileta kwenye vita ya kampuni kubwa za mabasi.? 🤣 Ulidhani sitaifuatilia au.? Basi zenyewe scania zinakula mzinga kila siku 👇
7d9da7353c503a62.jpg
.. 👇"ENA Coach" ENA Coach. 🤣🤣 Dah.!!
 
🤣🤣🤣 Kampuni ya basi nne+ daladala unaileta kwenye vita ya kampuni kubwa za mabasi.? 🤣 Ulidhani sitaifuatilia au.? Basi zenyewe scania zinakula mzinga kila siku 👇View attachment 2790708.. 👇"ENA Coach" ENA Coach. 🤣🤣 Dah.!!
Nishasema, Watz huamini kilichopo akili mwao, bora wajiliwaze. Haya Tafta Buscar pia. Ama hizi za kwenda Western. Sijaweka za Coast na North
Screenshot_2023-10-23-22-43-07-10_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
images (41).jpeg
images (42).jpeg
images (39).jpeg
images (40).jpeg
images (38).jpeg
images (37).jpeg
 
Yaani ukizingatia Benjamin Mkapa Stadium alone is under maintenance at the cost of $15m halafu hawa eti wanajenga hizi bodaboda sheds Kwa gharama ya $250k kisha wanaita international stadiums, unagundua kuwa hawa wakundustan ni Bunch of jockers , we should not expect enything serious for AFCON 2027 toka kwa hawa mafukara.
Narudia tena kusema hapa jamvini mzigo wa AFCON 2027 utaachiwa Tanzania msiseme sikuwaambia kabla.
 
Historia ipi? Ikawaje kiswahili kikafika Zambia, Mozambique, DRC, Malawi, Burundi, Rwanda kisifike Ethiopia, Sudan, Somalia kama ninyi ndio center of excellence ya Kiswahili? Ukiondoa Mombasa kwengine kote hakuna anaeweza kuongea sentence 2 za kiswahili Kunyaland yote, kiswahili kimeanzia Tanzania ndio maana kutokea Tanzania kimesambaa nchi zote zinazopakana na Tanzania, kwanza hata it's a big shame kudabate na Mkunya kuhusu kiswahili 🚮
Narudia. Soma historia.
 
Nimechelewa kuuona huu mjadala.. lkn hapa kwenyewe umeshindwa kuandika sentensi kwa kiswahili yote. Ndo kiswahil kitoke kenya?.
Pia kiswahili cha mtoto mdogo wa Tanzania ni bora na kinaelewa kuliko hata cha mtu mzima huko kenya.
So typing a paragraph in Kiswahili changes the history of Kiswahili? Stop being a fool.
 
Back
Top Bottom