Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa checki eti Var room huku South. Si mngeacha tu !!! Ona kiti. Bona Tanzania hupenda kuiaibisha Afrika Mashariki!?
20231019_220501.jpg
 
Hujengi kusubiria watu wafikie 100 Bali unajenga wakifika hiyo idadi au plan Yako inaendana na muda wa kufikia hiyo namba.Kinyume na hapo ni ujinga.

Ona ulivyo nyumbu,Kwa hiyo watu Wakiwa mil.100 Barabara zitakuwa saturated si ndio? Kwamba huko Nigeria,Ethiopia nk Barabara hazipotiii watu ni wengi sana wanatumia usafiri wa treni si ndio?

Nimechoka kujibu pumba zako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti hujengi kusubiri watu kufika million 100 kwani umeambiwa hio reli inaishi miaka mingapi?? Tumeambiwa 80 mpaka 100 sasa hapo nini huelewi

Uchumi wowote duniani lazma uwe na expectations ndio maana mfanyabiadhara yoyote anapoekeza hupiga hesabu ya pesa yake ya investment itarudi baada ya miaka mingap na faida atapata baada ya miaka mingap, kama umesoma chuo kikuu budaa karudia ada yako, fuvu limejaa kamasi tu 🤣

Ww nigeria au ethiopia ushawah fika?? Nenda kaone ile congestion ilioko lagos tu alaf urudi uteme tapishi lako, ww nje ya uyole umesafiri kwenda wapi??😅😅😅

Ethiopia kuna umaskini wa level za kenya, au hujawah kuona adis ababa kuna light rail ndani ya jiji au hujui ni nn??
images - 2023-10-20T091818.486.jpeg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti hujengi kusubiri watu kufika million 100 kwani umeambiwa hio reli inaishi miaka mingapi?? Tumeambiwa 80 mpaka 100 sasa hapo nini huelewi

Uchumi wowote duniani lazma uwe na expectations ndio maana mfanyabiadhara yoyote anapoekeza hupiga hesabu ya pesa yake ya investment itarudi baada ya miaka mingap na faida atapata baada ya miaka mingap, kama umesoma chuo kikuu budaa karudia ada yako, fuvu limejaa kamasi tu 🤣

Ww nigeria au ethiopia ushawah fika?? Nenda kaone ile congestion ilioko lagos tu alaf urudi uteme tapishi lako, ww nje ya uyole umesafiri kwenda wapi??😅😅😅

Ethiopia kuna umaskini wa level za kenya, au hujawah kuona adis ababa kuna light rail ndani ya jiji au hujui ni nn??
View attachment 2787032
Life span yake inaleta mantiki ikiwa inatumika Kwa Tija sio kusubiria.

Kuwa na akili basi we mbumbumbu wa uchumi.

Hizo expectations unazotaka lazima ziwe zimefanyiwa feasibility study,Sasa mlifanya nyie wakati mnakurupuka? Acha ujinga.

Huko Ethiopia hawakukurupuka Walijenga ikiwa tayari Kuna uhitaji sio kusubiria porojo za expections.

Hao wengine kama walichelewa ni wao.

Mwisho Kwa staili ya Kimwendazake ya kujenga Bora liende eti unasubiria sijui expectations tungeishia kuwa kama Ghana,una miundombinu ila umefikisika unaomba Msaada 😆😆😆😆

Uchumi sio somo la Kila layman inahitaji uwe na smart mind with maximum consciousness ndio maana Kuna Kodi ya behavioral economics kuwasaidia watu wenye tabia za kukurupuka na kuishi Kwa hisia kama wewe na Mwendazake.
 
Life span yake inaleta mantiki ikiwa inatumika Kwa Tija sio kusubiria.

Kuwa na akili basi we mbumbumbu wa uchumi.

Hizo expectations unazotaka lazima ziwe zimefanyiwa feasibility study,Sasa mlifanya nyie wakati mnakurupuka? Acha ujinga.

Huko Ethiopia hawakukurupuka Walijenga ikiwa tayari Kuna uhitaji sio kusubiria porojo za expections.

Hao wengine kama walichelewa ni wao.

Mwisho Kwa staili ya Kimwendazake ya kujenga Bora liende eti unasubiria sijui expectations tungeishia kuwa kama Ghana,una miundombinu ila umefikisika unaomba Msaada 😆😆😆😆

Uchumi sio somo la Kila layman inahitaji uwe na smart mind with maximum consciousness ndio maana Kuna Kodi ya behavioral economics kuwasaidia watu wenye tabia za kukurupuka na kuishi Kwa hisia kama wewe na Mwendazake.
Ngoja nisipoteze muda usemi Simon 🤣🤣
 
Ngoja nisipoteze muda usemi Simon 🤣🤣
Huna hoja ,chuki zimeshinda maarifa 😂😂

Naendelea kuwapa spana za Samia mama wa Taifa

-Elimu Bure Hadi Chuo Kikuu (Form six Bure,Diploma,mikopo bila kusahau University hakuna mtoto amekosa Mkopo)
- Amepandisha salary,madaraja Kwa Watumishi,amefuta wizi Bodi ya Mikopo(Mwendazake alituwekea retention fee na makato makubwa)
-Anajenga minara zaidi ya 400 kufikisha mawasiliano Kila sehemu
-Anasambaza mkonga wa Taifa Nchi nzima Hadi jirani

Niongeze Volume? Sijamaliza hapo.

View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1715028595830030420?t=xNG_vxWQplkqwm_cSrUEmw&s=19
 
Huna hoja ,chuki zimeshinda maarifa 😂😂
SGR itajengwa na legacy ya mwamba iko pale pale na bi mkubwa kazi iendelee kweli anaendeleza kazi za mwamba 😅😅😅

Kidume alietikisa africa nzima mpaka duniani sio mchezo, ukiskia vita alivopigwa kujengwa bwawa la nyerere hakuna rais yoyote angesimama na vita hvo 😅😅😅

Hapa kazi tu...... Kazi iendelee

Nimemaliza kama hupendi legacy yake endelea kuumia kwa juhudi zote
 
Back
Top Bottom