ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ndoo la povu likijaa niite nije nilibebe🤣🤣Haha, wanajaza stadium to watch amateur African football.
Ujinga tupu.
Watu wafanye kazi.
Ndoo la povu likijaa niite nije nilibebe🤣🤣Haha, wanajaza stadium to watch amateur African football.
Ujinga tupu.
Watu wafanye kazi.
www.pd.co.ke
Vyuo kama hili vinajengwa Wilaya zote ,awamu ya kwanza wanajenga vyuo 60
View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1714256502402273526?t=kTXXBp4YOLCk5NYAQm6gfw&s=19View attachment 2784555View attachment 2784556View attachment 2784557
www.pd.co.ke
Vyuo vyote vinajengwa Kwa hiyo Bajeti.Sema 2.7b hapo tumepigwa
Hata kama b 2.7 kwenye huto tumajengo sio kweliVyuo vyote vinajengwa Kwa hiyo Bajeti.
Tafuteni BoQ kabla ya kulaumu mjue items na activities
Karakana sio Darasa,elewa HiloHata kama b 2.7 kwenye huto tumajengo sio kweli
Povu peleka business insider sio kwangu 🤣🤣Hizi statistics za rate of employment ni za upuzi maanake kila nchi iko na definition yake tofauti ya employment. Ni sawa na number of cities. Yani ukiona Madagascar ndio inaongoza Africa kwa employment na ukubali statistics zenyewe lazima utakuwa na shida ya akili.