Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatafutiza matatizo 😆😆😆 hata kukatika Kwa umeme ni Changamoto ya mahitaji makubwa ya maviwanda na watu,isingekuwa hivyo umeme ungetosha kabisa.

Mwisho Changamoto ya umeme ni ya kitambo tuu,mvua zilishuka tuu mgao unaisha ,mwezi wa 6 mwakani mtambo wa kwanza wa bwawa unawashwa na kama kutakuwa na demand zaidi tutakuwa tumekamilisha kuunganisha grid na Kenya tunaingiza umeme wa Ethiopia (East Africa electricity pool).

View: https://www.instagram.com/p/Cylug_dotau/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Bwawa lipi unalozungumzia, we c unasemaga humu kujenga bwawa ni upuuzi?
 
Kwani we unadhani uyo jamaa anamkubali Samia? Huyo adui yake ni Magufuli, yani yeye alikuwa tayari kumshabikia yeyote yule hata angekuwa paka na sio Magu, tatizo anachoumbuka ni pale Samia anaendeleza yale yale ya Magufuli aliyoyaacha, na ndiyo maana akasema kazi iendelee, jamaa kila anachopost 90% vilianzishwa na awamu ya tano lkn bado hapo hapo anajifanya chizi, ok hakuna haja ya kurudisha haya mambo, tatizo jamaa wa mipasho mpk leo bado ametawaliwa na Magufuli kichwani mwake, cjui alimfanyaje au sijui alimfi.ra yn ata sielewi hii chuki inatoka wapi.
Huyo dawa yake kumuignore tu mwisho wake atajiona mjinga
 
Dozi unajipa mwenyewe maana kama ni umeme ukikatika na kwako pia unakatika,petrol tunanunua wote bei 1,machawa wanapitia yote mabaya tunayopitia wengine
Mwanzo walilishwa maneno na Obama wa bongo 'Tanesco hawakufanya maintenance kipindi chote miaka 5' mara mvua ziko chache,.. saiz nasikia vijana ndo sababu ya umeme kukatika.. nao kama ng'ombe wanakubali tu. Thanks God, wale wahuni.. obama wa bongo na Mr. BEANS hawapo tena wizara yetu
 
Unatafutiza matatizo 😆😆😆 hata kukatika Kwa umeme ni Changamoto ya mahitaji makubwa ya maviwanda na watu,isingekuwa hivyo umeme ungetosha kabisa.

Mwisho Changamoto ya umeme ni ya kitambo tuu,mvua zilishuka tuu mgao unaisha ,mwezi wa 6 mwakani mtambo wa kwanza wa bwawa unawashwa na kama kutakuwa na demand zaidi tutakuwa tumekamilisha kuunganisha grid na Kenya tunaingiza umeme wa Ethiopia (East Africa electricity pool).

View: https://www.instagram.com/p/Cylug_dotau/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Huwa sikujibug ila unachekesha sana ..
Unataja vitu vilivyoanzishwa kujengwa 2015-2020 ila uko busy kusema 'hakuna kitu kilichofanyika'

Huo mtambo wa kwanza wa Bwawa unajua nan aliupambania ilo bwawa kujengwa? Wakina nan walimpiga bit? Hizo bit, bibi wa saiz angeziweza kuzistahimil, aka kulinda economic democracy?

Anyway sijui kwann naona nimepoteza tu muda kuandika hiki nilichoandika kwa mtu asiejielewa
 
Sasa Mimi siko hapa kutafuta teuzi nafurahia mafanikio ya Mama na vile ametuwekea mazingira safi.

Mimi mkulima just imagine tulikuwa tunauza gunia la kilo 100 la mahindi Kwa 20,000-40,000 baada ya mama ni 60,000-100,000. Mwaka huu tuu Kwa Serikali tumeuza Kwa 90,000 ,why yaani why nosifurahie na ku enjoy kazi nzuri ya mama wa Taifa?

Kilimo Kwa Sasa ni biashara sio adhabu kama awamu ya wale waigizaji.Na mama amemwaga pesa Kwa watu wa chini.
Kwamba na wewe mdumavu wa akili toka sumbawanga unataja neno teuzi ? Hii dunia 😀😀😀
 
Reborn Ktb nilikwambia kwamba mechi zinahusisha Simba au yanga ndani ya Lupaso stadium huwa ni full house show 👇
F80xcgUXUAAkQXO.jpeg
.. 60k people, Halaf ndio mpewe nyinyi opening ceremonies za AFCON nakunya kutoka Tanga mjini hadi Jasini. Vanga yote naitia mavi m'maambegesi 🤣🤣
 
Huwa sikujibug ila unachekesha sana ..
Unataja vitu vilivyoanzishwa kujengwa 2015-2020 ila uko busy kusema 'hakuna kitu kilichofanyika'

Huo mtambo wa kwanza wa Bwawa unajua nan aliupambania ilo bwawa kujengwa? Wakina nan walimpiga bit? Hizo bit, bibi wa saiz angeziweza kuzistahimil, aka kulinda economic democracy?

Anyway sijui kwann naona nimepoteza tu muda kuandika hiki nilichoandika kwa mtu asiejielewa
Vitu gani hivyo vilivyoanza kujengwa 2015? Kwa nini havikuisha miaka yote hiyo? Mlikuwa mnamsibiria nani aje avomalizie mseme ni mtu wenu? Aliacha pesa? 🤣🤣🤣

Tulizeni Mshono niwape dozi za Samia mama wa Taifa sijamaliza. Mnaumia Sukuma gang na Wakunya Kwa pamoja 😁😁😁

-Anajenga Veta Kila Wilaya na Kila Mkoa Jumla 89
-Anajenga Tawi la BoT Kanda ya Magharibi Kigoma
-Amevunua rekodi ya Watalii kutoka 1.5mln Sasa tunaenda safari ya mil.5(Najua wajua mapato ya Utalii Sasa yameisidi dhahabu)
-Sekta ya Madini Sasa inachangia zaidi ya 10% ya GDP kutoka 5%
-Anajenga Viwanja vya Mpira Afcon Arusha,Dom bila kusahau arena zake

Niongeze Volume usikie vizuri? Sijamaliza miradi .

Saizi mnakula dozi za maumivu Sukuma gang pamoja na Wakunya Kwa pamoja.

Usirudie kulinganisha Samia na watu wa ajabu ajabu wasio na akili.

View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1714940436177977814?t=ExTZ2JPG5M5Q2YR7wJtsTw&s=19
 
Bwawa lipi unalozungumzia, we c unasemaga humu kujenga bwawa ni upuuzi?
Au siyo?Bwawa la Umeme Kutoka 30% Hadi Sasa 92% ,hakuna kilichosimama kuanzia Ajira Hadi Kilimo yaani Kwa Samia pesa ipo kiufupi ni 🔥🔥🔥🔥

Naendelea kukupa dozi ya Samia
-Maji ya Ziwa Viktoria yamefikia Singida na Sikonge ,uelekeo ni Hadi Kaliua na Doodma
-Tumewasha grid ya Taifa Kigoma,mwaka huu tunawasha Grid Katavi
-Miradi wa LNG umefufuka any time t walimaliza mazungumzo ujenzi unaanza

Niongeze Volume? Usije kulinganisha Samia na watu wajamaa mbuzi.

View: https://twitter.com/UchumiForum/status/1715050729100980541?t=up7D1ABvHRAlRO5PwBrFDw&s=19
 
Back
Top Bottom