ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Lazima itajengwa huwezi acha ikiwa tayari 14T zimepotea ,kuacha ni hasara mara 2.SGR itajengwa na legacy ya mwamba iko pale pale na bi mkubwa kazi iendelee kweli anaendeleza kazi za mwamba 😅😅😅
Kidume alietikisa africa nzima mpaka duniani sio mchezo, ukiskia vita alivopigwa kujengwa bwawa la nyerere hakuna rais yoyote angesimama na vita hvo 😅😅😅
Hapa kazi tu...... Kazi iendelee
Nimemaliza kama hupendi legacy yake endelea kuumia kwa juhudi zote
Unfortunately kwenye mawe ya Msingi jina la Samia litaonekana hiyo legacy yenu itakufa mtakapojufa nyie ila historia itamuandika Samia.