Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku kenya watanzania huonekana kama watu waliozembea sana. Ni vigumu uwapate wakifanya huku kazi.
Many appear Tough and like they are motivated ...but honestly they achieve nothing.. Talking... I give you that... You talk too damn much... Bahati mbaya mnaishia kuwa ndumila kuwili kuclimb corporate ladder ...hiyo ndio sifa mnayokimbia nayo tena not just her ...a few friends working in UAE says the same thing.
 
porojo mtaacha endeni mpate vinywaji....
fc4d9a791a0f019d01503da8632af0df.jpg
 
Many appear Tough and like they are motivated ...but honestly they achieve nothing.. Talking... I give you that... You talk too damn much... Bahati mbaya mnaishia kuwa ndumila kuwili kuclimb corporate ladder ...hiyo ndio sifa mnayokimbia nayo tena not just her ...a few friends working in UAE says the same thing.
fallacy of hasty generalization....."philosophical"
 
hahaha.....hapo umenimix na kiswahili...sawa wastaarabu wa uswazi nyamalani

Hata mimi niko nje.

.
Hivi kustaarabika ndiyo kukoje? Au unamaanisha kuvaa kizungu koko?
.
Ni hivi; neno 'koko' kwa kiswahili chetu ni kitu cha uvuguvugu (hakieleweki kipo upande gani), mfano 'mbwa koko' ni mbwa mpole asiyebweka au yule ambaye hawezi kung'ata. Sasa 'wazungu koko' ni wale waafrika ambao wanajifanya wazungu kwa kuibia ibia vitabia viwili vitatu vya kizungu lakini siyo wazungu halisi.

uzungu koko mwisho namanga.
.
Namanga ni mpaka wa Tanzania na kenya kwahiyo ukivuka to boda ya namanga kuja Tanzania, uzungu unauachia hapo hapo.

.
Acha kushangaa shangaa mambo ya feri wewe, shilingi kuzama meli kuelea.
.
Haya maneno ni ya kiutamaduni na kihistoria zaidi. Miaka ya nyuma hapo Dar, kulikuwa na misemo kama;

"unashanga shangaa nini, kashangae feri, shilingi kuzama meli kuelea".

Mshangao huu ulitokana na kuona meli ambayo ni kubwa na nzito, ikielea, wakati shilingi (coin) kuzama (law of floatation).

Watu wengi wanaotembelea maeneo ya baharini (feri) kupunga upepo, huonekana kana kwamba wemekumbwa na bumbuwazi (being stunned) kwa jinsi bahari ilivyo kubwa. So goes "unashanga shangaa nini".

Neno feri limetokana na neno 'ferry' yaani kivuko. kihistoria, wakazi wa Dar ili kwenda ng'ambo ya pili ya Dar (kigamboni) ilibidi watumie, 'a ferry' kuvuka. Waswahili tukapaita pale kwenye kivuko, kivukoni au feri. Utamaduni huu wa kubatiza maneno ya kiingereza upo sehemu nyingi mfano carrier corp (kariakoo) na Michael chain (mikocheni) n.k.

015023a136a0f715320176d9de0401b7.jpg


Kwahiyo nilitumia hayo maneno kwasababu hao wakinamama kwenye picha walikuwa wanatoka feri kununua samaki huku wakibeba ndoo za samaki kichwani (utamaduni huo).

hahaha.kweli Nairobi hata maskini huonekana civilized
.
Unaweza kufikiri hawa wamama hawajastaarabika lakini wanajua ku-apply physics kuliko unavyodhani.

Hizo ndoo unazoziona zimekuwa balanced vizuri kabisa, wenyewe tunasema "all forces are concurrent". Yaani hapo ndoo imeganda kichwani vizuri kabisa ikiwa imekaa kwenye khanga (as a damping mechanism) with 'resultant force' approaching to zero. Any excessive force acted at any angle will be corrected by the 'superior brain cells' of these women.

Concept hiyo hiyo ya ku balance ndoo ndiyo inayotumika kuunda 'suspension bridge' (kama Golden gate bridge ya San Fransisco) au ku fly an airplane.
 
I would appreciate any proof that supports that. Mnapenda kulia sana,ati pesa za EAC...

In 1972, the World Bank approved funds for further expansion of the airport, including a new international and domestic passenger terminal building, the airport's first dedicated cargo and freight terminal, new taxiways,associated aprons, internal roads, car parks, police and fire stations, a State Pavilion, airfield androadway lighting, fire hydrant system, water, electrical, telecommunications and sewage systems, a dual carriageway passenger access road, security, drainage and the building of the main access road to the airport (Airport South Road). The total cost of the project was over US$29 million (US$111.8 million in 2013 dollars). [8] On 14 March 1978, construction of the current terminal building was completed on the other side of the airport's single runway and opened by President Kenyatta. [9] The airport was again renamed, this time in honour of President Kenyatta after his death about five months later on 22 August 1978.

Katika EAC kila eneo lilikuwa na hub yake, mfano UDSM ilikuwa ni kwaajili ya mambo ya art (sheria), Nairobi University ilikuwa uhandisi (engineering) na Makerere ilikuwa udaktari. Hata hivyo asset zote za maana mliziweka Nairobi.

Kwa mfano, kwenye ndege makao makuu yalikuwa Nairobi na kiwanja kikubwa cha anga kikajengwa huko. Tanzania sisi tulikuwa makao makuu ya jumuia, ndiyo maana tukaambulia kale ka AICC pale Arusha.

Kwahiyo unaposema kuwa mlijenga kiwanja wenyewe siyo kweli, zaidi ya majengo pia mlihakikisha movable assets (Boeing planes) zote za maana zinahamishiwa Nairobi kabla ya jumuia kuvunjika. Sisi kupenda sana Uafrika na kuona kuwa sote ni ndugu ndicho kilicho tuponza, kumbe wenzetu ni chui mliovaa ngozi ya kondoo.

Tumejifunza kutokana makosa ya wazazi wetu na kamwe hatuwezi rudia sasa hivi ni jino kwa jino, undava undava, you hit me I hit you back (ref: Magufuli na ng'ombe wa jirani).
 
This is what I've noticed, with every Kenyan development, Tanzanians always have a myth about how Kenya didn't do it. I think that's what they have all been taught by their leaders because every single one of them believes that.
So tushawazoea endeleeni vivo hivo na hadithi za Abunwasi hahaa...

Dah! Mazee kwa kufukua makaburi hujambo yaani umeenda kufukunyua thread ya 2011 kuangalia mambo niliyosema huko?

Hakuna maneno ya uongo niliyosema pale, ni kweli baada ya wajerumani kutimuliwa, Tanganyika ilibaki kama yatima, waingereza walikuwa wakikaa Nairobi huku wakija Tanganyika kuangalia wanyama. Utaona hata utamaduni wa watanzania (hata mijini) hauna mambo ya kimagharibi kama Kenya, South Africa, Zimbabwe. Miradi mikubwa kama Tanganjikabahn ilijengwa na wajerumani, waingereza hawakujenga kitu cha maana zaidi ya British council na kuongezea vireli vya km 200 vya hapa na pale. Tanzania tuliijenga wenyewe baada ya uhuru.
 
Katika EAC kila eneo lilikuwa na hub yake, mfano UDSM ilikuwa ni kwaajili ya sheria, Nairobi University ilikuwa uhandisi (engineering) na Makerere ilikuwa udaktari. Hata hivyo asset zote za maana mliziweka Nairobi.

Kwa mfano, kwenye ndege makao makuu yalikuwa Nairobi na kiwanja kikubwa cha anga kikajengwa huko. Tanzania sisi tulikuwa makao makuu ya jumuia, ndiyo maana tukaambulia kale ka AICC pale Arusha.

Kwahiyo unaposema kuwa mlijenga kiwanja wenyewe siyo kweli, zaidi ya majengo pia mlihakikisha movable assets zote za maana zinahamishwa Nairobi. Sisi kupenda sana Uafrika na kuona kuwa sote ni ndugu ndicho kilicho tuponza, kumbe wenzetu ni chui mliovaa ngozi ya kondoo.

Tumejifunza kutoka makosa ya wazazi wetu na kamwe hatuwezi rudia sasa hivi ni jino kwa jino, undava undava, you hit me I hit you back (ref: Magufuli na ng'ombe wa jirani).
Hili sijwai lijua
 
Hili sijwai lijua
jf ina hazina ya watu wanaojua historia ya nchi za EA baada ya harakati za uhuru.

ukitaka kuifahamu historia ya kweli nchi fulani, itabidi ujiongeze kwa kusoma sana vitabu,uachane na porojo za ma-professor na ma-lecturer wa universities.

kwa mfano,hapa jf kuna member anaitwa mzee mohamed said,huyu jamaa amejipatia heshima na umaarufu kutokana na ubobezi wake wa historia ya wazee waliosaidia kupatikana kwa uhuru wa tanganyika wakisaidiana na mwalimu nyerere.
 
Katika EAC kila eneo lilikuwa na hub yake, mfano UDSM ilikuwa ni kwaajili ya mambo ya art (sheria), Nairobi University ilikuwa uhandisi (engineering) na Makerere ilikuwa udaktari. Hata hivyo asset zote za maana mliziweka Nairobi.

Kwa mfano, kwenye ndege makao makuu yalikuwa Nairobi na kiwanja kikubwa cha anga kikajengwa huko. Tanzania sisi tulikuwa makao makuu ya jumuia, ndiyo maana tukaambulia kale ka AICC pale Arusha.

Kwahiyo unaposema kuwa mlijenga kiwanja wenyewe siyo kweli, zaidi ya majengo pia mlihakikisha movable assets (Boeing planes) zote za maana zinahamishiwa Nairobi kabla ya jumuia kuvunjika. Sisi kupenda sana Uafrika na kuona kuwa sote ni ndugu ndicho kilicho tuponza, kumbe wenzetu ni chui mliovaa ngozi ya kondoo.

Tumejifunza kutoka makosa ya wazazi wetu na kamwe hatuwezi rudia sasa hivi ni jino kwa jino, undava undava, you hit me I hit you back (ref: Magufuli na ng'ombe wa jirani).
Na Bahati nzuri Magufuli anawajua wakenya ni watu wa aina gani ndio maana he doesn't give a demn na hata hayupo interested huko ukilinganisha na other community members
 
I think that's what they have all been taught by their leaders because every single one of them believes that.
.

FYI, Tanzanians aren't that much lazy to believe and follow each and everything a leader says! We do research on our own! So what we say abt you Kenyans is purely out of our findings and reality.

Unlike you guys, you are like a flag. You do and probably say everything as your leaders' wish
 
.
Ni hivi; neno 'koko' kwa kiswahili chetu ni kitu cha uvuguvugu (hakieleweki kipo upande gani), mfano 'mbwa koko' ni mbwa mpole asiyebweka au yule ambaye hawezi kung'ata. Sasa 'wazungu koko' ni wale waafrika ambao wanajifanya wazungu kwa kuibia ibia vitabia viwili vitatu vya kizungu lakini siyo wazungu halisi.


.
Namanga ni mpaka wa Tanzania na kenya kwahiyo ukivuka to boda ya namanga kuja Tanzania, uzungu unauachia hapo hapo.


.
Haya maneno ni ya kiutamaduni na kihistoria zaidi. Miaka ya nyuma hapo Dar, kulikuwa na misemo kama;

"unashanga shangaa nini, kashangae feri meli kuzama, shilingi kuelea".

Mshangao huu ulitokana na kuona meli ambayo ni kubwa na nzito, kuelea, wakati shilingi (coin) kuzama (law of flotation).

Watu wengi wanaotembelea maeneo ya baharini (feri) kupunga upepo, huonekana kana kwamba wemekumbwa na bumbuwazi (being stunned) kwa jinsi bahari ilivyo kubwa. So goes "unashanga shangaa nini".

Neno feri limetokana na neno 'ferry' yaani kivuko. kihistoria, wakazi wa Dar ili kwenda ng'ambo ya pili ya Dar (kigamboni) ilibidi watumie, 'a ferry' kuvuka. Waswahili tukapaita pale kwenye kivuko, kivukoni au feri. Utamaduni huu wa kubatiza maneno ya kiingereza upo sehemu nyingi mfano carrier corp (kariakoo) na Michael chain (mikocheni) n.k.

015023a136a0f715320176d9de0401b7.jpg


Kwahiyo nilitumia hayo maneno kwasababu hao wakinamama kwenye picha walikuwa wanatoka feri kununua samaki huku wakibeba ndoo za samaki kichwani (utamaduni huo).


.
Unaweza kufikiri hawa wamama hawajastaarabika lakini wanajua ku-apply physics kuliko unavyodhani.

Hizo ndoo unazoziona zimekuwa balanced vizuri kabisa, wenyewe tunasema "all forces are concurrent". Yaani hapo ndoo imeganda kichwani vizuri kabisa ikiwa imekaa kwenye khanga (as a damping mechanism) with 'resultant force' approaching to zero. Any excessive force acted at any angle will be corrected by the 'superior brain cells' of these women. Concept hiyo hiyo ya ku balance ndoo ndiyo inayotumika kutunda 'suspension bridge' (kama Golden bridge ya San Fransisco) au ku fly an airplane.
kaka hongera sana....ila nakuonea huruma kwa vile ulivyotumia juhudi,maarifa na akili kubwa kuwafafanulia madini kama haya watu ambao dhahiri shairi ni "zero brain".
 
Hapa umepiga msumari wa kichwa.
poverty below poverty line Kenya ni more than 43% wakati tanzania ni 12%.
Halafu population ya Tanzania ni kubwa.
vilevile unemployment kenya ni 44% of population.
external public debit more than 50% of GDP.
Hivi nyie wakenya mnajielewa kweli.
 
wp_ss_20171112_0001 (2).png
Upande wa left ni kenya right ni tanzania
 
Na Bahati nzuri Magufuli anawajua wakenya ni watu wa aina gani ndio maana he doesn't give a demn na hata hayupo interested huko ukilinganisha na other community members
.
Hawa si watu wa kuwachekea japo kuwa ni jirani zetu ila pia wapo ambao ni wazuri lakini ki ujumla inabidi ukae nao kimachale machale.
FYI, Tanzanians aren't that much lazy to believe and follow each and everything a leader says! We do research on our own! So what we say abt you Kenyans is purely out of our findings and reality.

Unlike you guys, you are like a flag. You do and probably say everything as per your leaders' wish
.
Kila mkenya niliyekutana naye huwa anakuja na hizo swagger zao za watanzania hawajasoma, sijui wako lazy au Kenya is so developed. Lakini baada ya kuongea nao kidogo wanakuwa kama wamepigwa na radi vile, yaani mpaka wanatia huruma. Ni kama vile umewaondoa kwenye reality fulani hivi na hawajui wafanyeje.

kuna kitu viongozi wao wanawadanganya wakiwa wadogo kwasababu haiwezekani kila mkenya awe hivyo. We ona hata hapa, akija member mpya utaona zile stereotype zao lakini akikaa kwa muda utaona anabadilika.
 
Back
Top Bottom