Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwez kunipandisha fuso, Isuzu, canter trucks zilizotengenezwa maalum kubeba mikungu ya ndizi, nyanya, vitunguu nk eti kwa kuwa limepambwa na mbwembwe za rangi na muziki mkawadanganye hukohuko huku ni bas maalum kutoka kiwandani coaster, Nissan civilian, eicher nk
Stick to your daladala. Tamu irambwe.
 
dar es salaam central business district.
(samora avenue,sokoine drive,maktaba street,ohio street,garden avenue,kisutu street,jamhuri street etc).
5822a7bc09525abe6690df3a64de8e83.jpg
ebea98d3a459573a9982bf570ff6e2e4.jpg
792cdf1f418f120f41aaa586bdd90b40.jpg
59f123609e39988e72668c1bdfe09641.jpg
2f807fcd696de255dede5ee28327f527.jpg
f8c34dd10d4df799fd2a509e7b4c1889.jpg
12a7ad39f8e2067f7c8dc5b5c6221f38.jpg
fe5180bf004baf362bef446a68a5a8ed.jpg
e533d99da7bbd7a4d7312b0cf665d096.jpg
Umeleta zote?
 
Kwanini wanawakaribisha watalii kwenye hizo shitholes.
Ni ujinga sana huo, its like they're proud of Kibera hawa majamaa.
Wazungu wanazidi kutuona mafara.
iko hivi mdau,karibia charity organization zote zinazotoa huduma za kijamii katika slum za kenya zinaratibiwa au zinamilikiwa na wazungu.

kwa maana hiyo usishangae kuona picha nyingi za slums za kenya kwenye social media zinawekwa na wazungu badala ya wakenya.wazungu ndio wanaosaidia sana kutoa misaada ya kijamii katika hizo slums kuliko wakenya matajiri.yaani wao ndio wanaoshinda site zaidi kuliko wenyeji.
hope umenielewa ndg yangu.
 
Kenya na Tanzania in terms of dev hazifai kuwa kwa sentensi moja. Nyinyi kina kaka tambua lanes kwanza. Anzeni na somalia then uganda in that order.
 
iko hivi mdau,karibia charity organization zote zinazotoa huduma za kijamii katika slum za kenya zinaratibiwa au zinamilikiwa na wazungu.

kwa maana hiyo usishangae kuona picha nyingi za slums za kenya kwenye social media zinawekwa na wazungu badala ya wakenya.wazungu ndio wanaosaidia sana kutoa misaada ya kijamii katika hizo slums kuliko wakenya matajiri.yaani wao ndio wanaoshinda site zaidi kuliko wenyeji.
hope umenielewa ndg yangu.
sasa tuonyeshe estate zenu za middle class in aerial view
 
hii city nayo ndio hushangaza....hahaha.kweli Nairobi hata maskini huonekana civilized
015023a136a0f715320176d9de0401b7.jpg
 
that's why you are ignorant..........hahaha.Msiogope kuja juu ya aibu.kama mmejaza omba omba Nairobi seuze kuzuru....
Hapana unapo opt wapi uende Kenya hiawez kua sehemu sahihi ...Yaani even Namibia ni better broo kenya ni y kuifananisha na Tz ukitoka uku east huna pakutokea

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom