Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
kaka hongera sana....ila nakuonea huruma kwa vile ulivyotumia juhudi,maarifa na akili kubwa kuwafafanulia madini kama haya watu ambao dhahiri shairi ni "zero brain".
Mi nakuelewa sana bro, huwa nakusoma vizuri na kweli unawajua hawa jamaa na hata utamaduni wao unaufahamu kuliko wengi wetu hapa. Lakini wakati mwingine inabidi uwafundishe ili kuweka mambo sawa, kesho mtu ajifikirie mara mbili mbili kabla ya kuja kubandika upupu wake.