El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
pwahahaha.....this is funny meenhahahaha ****, inakaa stage ya mabasi
pwahahaha.....this is funny meenhahahaha ****, inakaa stage ya mabasi
hahaha.....hapo umenimix na kiswahili...sawa wastaarabu wa uswazi nyamalani.
Hivi kustaarabika ndiyo kukoje? Au unamaanisha kuvaa kizungu koko?
Acha kushangaa shangaa mambo ya feri wewe, shilingi kuzama meli kuelea. Hiyo ndiyo bongo Darisalama, uzungu koko mwisho namanga.
Hata mimi niko nje.hahaha.....hapo umenimix na kiswahili...sawa wastaarabu wa uswazi nyamalani
Nyinyi mlichezwa, mbona mpaka waleo sijawai ona hata render ya how the termini will look like....kaka tanzania inajenga modern electric rail nusu ya pesa munayopigwa na wachina😀😀😀😀😀
Aibu kwa mtu kucheka gari ya jirani na anatembea miguu tupuwachina wachina nyie Mungu anawaona😀😀😀😀😀😀😀😀
![]()
I would appreciate any proof that supports that. Mnapenda kulia sana,ati pesa za EAC....
Hiki kiwanja kilijengwa kwa pesa za Tanzania, Kenya na Uganda wakati wa EAC
Ndugu yangu X-PASTER unajua sisi ndiyo nchi pekee East Africa kujega university yetu. Hiyo university of Nairobi na Makere walijenga wazungu....
Kenya katika miundo mbinu wako mbali siku nyingi toka wakati wa ukoloni wazungu walijenga has a Nairobi hata fedha zetu Uganda na Tanzania zimejenga Kenya pia kenya barabara zake kwa ukubwa no ndogo kuliko Tanzania sisi barabara za maana zimeanza jengwa baada ya Uhuru
Hii miji ndio imeanza kuiva miaka ya hivi karibuni...nadhani 5yrs back hapakua ivyo
narudia tena,nina uhakika 100% hilo pori halimilikiwi na taasisi ya umma bali anamiliki mtu mmoja kutoka zile elite family zinazotawala kenya.
hamna chenu hapo.
![]()
![]()
.
Hiki kiwanja kilijengwa kwa pesa za Tanzania, Kenya na Uganda wakati wa EAC
.
Acha ujuaji wewe, ni kwa sababu nyie mliondoa sifuri kwenye pesa zenu miaka ya mwanzoni mwa 80 (kipindi cha Moi) wakati uchumi 'wenyu' ulipoporomoka .
This is what I've noticed, with every Kenyan development, Tanzanians always have a myth about how Kenya didn't do it. I think that's what they have all been taught by their leaders because every single one of them believes that.
So tushawazoea endeleeni vivo hivo na hadithi za Abunwasi hahaa...
ananiletea link mwandishi ni mkenya😀😀😀😀😀😀ichoboy adui wa links.....kubali matokeo pasi na maumivu na povu
Unaumiza hawa watu bure lee. Overkill jo.
Wakenya mnalialia sana...Kiukweli kabisa tz nchi tunayoiwaza kimaendeleo ni SAThis is what I've noticed, with every Kenyan development, Tanzanians always have a myth about how Kenya didn't do it. I think that's what they have all been taught by their leaders because every single one of them believes that.
So tushawazoea endeleeni vivo hivo na hadithi za Abunwasi hahaa...
Haha... Kubali yaishe😀😀😀Wakenya mnalialia sana...Kiukweli kabisa tz nchi tunayoiwaza kimaendeleo ni SA
Hizi porojo kama hua tunawawaza sijui mnazitoa wapi nyie. ..yani kwenda Kenya ni kama tu mtu kafunga safari ya kwenda mkoa mwingine...walau mngekua hamzungumzi kiswahili kabisa. ..mnaongea kiswahili na kizungu lafudhi ya kiluo yni unahisi bado upo tz
Ni kweli kuna hatua mmefuzu lakini kinachofanya bado msiwe wa tofaut ni either ndio tunaanza kukifanya nasi pia. ..yani mkitoa mguu tunaweka hadi vingine tunawazidi tuwawaze kwa lipi
Highlight kote uache undeziHaha... Kubali yaishe😀😀😀
Nimeipenda sana...
The true definition of make up😀😀😀 hayo sasa ndio ma make up ya ukweli, huwezi ona picha ya Dar yenye filter kama hizo, reasons ni kwamba majengo yao mengi ni ya 1970.thanks for the recycled pictures.
What about your corps shooting the cows?Si kumwona kama mungu. Huu upuzi wa kuchoma kenyan chicks na kuuza ngombe za wamaasai si poa. Who is this trevor guy tho?
The true definition of make up😀😀😀 hayo sasa ndio ma make up ya ukweli, huwezi ona picha ya Dar yenye filter kama hizo, reasons ni kwamba majengo yao mengi ni ya 1970.
