Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe NairobiWalker mbona nchi yenu haieleweki? Nimeona sehemu Kenya ni moja ya nchi zilizosaini makubaliano ya kijeshi na Urusi, sasa hii imekaaje wakati teyari mna kambi za jeshi za US na UK, Kenya?
 
Hizi ni highway Mimi nimekupa street roads ,acha blaa blaa hatuna Cha kujifunza huko Kunyaland
This is deep inside pokot village
20230805_233031.jpg
, sasa utacompare na izo barabara zenu mbovu
 


Nimetembea TZ na kila mahali bando, bando, bando.
WIFI huko ni kama unicorn. Inapatikana tu kwa mahoteli.

The vast majority of Tanzanians in towns and cities have no WiFi in their homes.
The opposite is true in Kenya.
Jambo la kwanza unapotembea kwa Mkenya (urban areas), hata kabla ya kupewa maji, ni kupewa password ya WiFi.
Na WiFi sio ya 'bando'... ni ya Fibre optic cables.

Sasa, si kwanza mpatie WaTZ WiFi kabla ya kupeleka Uganda.
 
Tuziogope vita kabisa.Ukiwa na kiongozi anaona vita kama chai ogopa sana.Leo Putin Kila mlipuko Russia anasema ni Sigara kwa warusi wanavuta sana Sigara wakati huu wa vita na Ukraine
 

Attachments

  • Screenshot_20230815-181951.png
    Screenshot_20230815-181951.png
    206.8 KB · Views: 7
Nimetembea TZ na kila mahali bando, bando, bando.
WIFI huko ni kama unicorn. Inapatikana tu kwa mahoteli.

The vast majority of Tanzanians in towns and cities have no WiFi in their homes.
The opposite is true in Kenya.
Jambo la kwanza unapotembea kwa Mkenya (urban areas), hata kabla ya kupewa maji, ni kupewa password ya WiFi.
Na WiFi sio ya 'bando'... ni ya Fibre optic cables.

Sasa, si kwanza mpatie WaTZ WiFi kabla ya kupeleka Uganda.
Hakuna kitu mnajua nyie Wakunya, Njooni mjifunze Tanzania

View: https://youtu.be/9KIN4tkNOlg
 
Back
Top Bottom