Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Moja ya marais wa hovyo. Ni mtu aliyetuletea matatizo makubwa sana nchini.
1. Alitunyima rais bora sana 2005, Dr Salim Ahmed Salim na kundi lake la wahuni la mtandao.
2. Kundi lake la mtandao lilijihusisha na ufisadi mkubwa kama: TICTS bandarini, EPA, ESCROW, RIchmond.
3. Samia ni janga lingine la Kikwete Tanzania, kwakua alikuwa sio chaguo la Magufuli, magufuli alichagua Dr Hussein Myinyi, Kikwete alipeleka jina la Samia kwa magufuli, akaenda nayo mawili kamati kuu na kuingia na ajenda ya gender kumchomeka Samia kama kibaraka wake kwenye serikali ya Magufuli na ndio alikuwa akitoa siri za serikali.
4. Bila kusahaui kundi lake ndio linaongoza chama na serikali: Chongolo, Makamba both mdogo na mkubwa, Kinana, Nape.

Sijawahi msikia akiongea anything intellectual.
Bro, JK ni kinyago chao hawa ma globalist wanawapenda sana watu wasio intellectual, akisifiwa kidogo na kualikwa vi dinner vya hapa na pale, may be gettin' some white P**y basi anafikiri wapo level moja. The likes of Mobutu.
 
Skyscrapers, ni vitu vidogo sana na wala haviakisi maendeleo halisi ya nchi. Hizo barabara JK aliendeleza tuu mikakati iliyoanzishwa na serikali ya Mkapa baada ya Magufuli (akiwa ujenzi), kuja na wazo la kuanzisha mfuko wa barabara (Tanroads), hata hivyo hongera zake (JK) kwa kuiacha mikakati iendelee, angeweza kuivunja.

Utumwa naouongelea ni yeye kutumika na the globalists kuwafanya watanzania wengi masikini, mfano mzuri ni alipotuletea Symbion. Dhumuni la hawa handlers (wanaompa vyeo) ni kuwafanya watanzania wengi masikini kwa kuwaibia pesa zao kupitia capacity charges huku wakitengeneza kikundi kidogo cha matajiri ambao ni rahisi kwao (handlers) kuwamiliki. Unapo waibia wananchi wengi pesa zao, nchi kiujumla inakosa nguvu (biashara, elimu, maendeleo na matumaini yanakufa).

Mfano mwingine wa kitumwa ni hizi sera za tozo ambazo Samia amezitekeleza juzi juzi ili kulipa madeni ya chanjo (chanjo ambazo hata hazikuhitajika), ni JK ndiye anayetuletea haya. Matokeo ya haya matozo ni watanzania wengi wanashindwa kujikwamua kwasababu pesa ndogo wanayopata inaishia kulipia tozo.

Ukiona hawa wa Europa wanakusifu na kukupa vyeo visivyo vya taaluma, jiulize umekosea wapi.

Sikuona ama wakati napost wewe ulikuwa umepost majibu mazuri kabisa. Well said.
 
Maliza hawa slum dwealers. 😂 😂
Dar is Slum needs to be levelled in its entirely, waanza kujenga na plan.
When you look at their aerial views, it looks like it was every man for himself. Build wherever you want,
dwealers=dwellers.
entirely=entirety
Najua utajitetea kinyang'au nyang'au, lakini usijali🤣🤣
 
Yako ni fupi na imejitosheleza kwakua nilikuwa sijui kuwa Tanroads ni ubunifu wa Magufuli.
Ubunifu wa Magufuli ni kuanzishwa kwa mfuko wa barabara, ambapo pesa za ujenzi zinatoka moja kwa moja kwenye kodi ya kila lita ya mafuta inayonunuliwa, badala ya hazina.
 
Wow .. nilikua nataka uongee hyo statement kwahiyo umekuja kwenye mtego wangu. Barabara za lami mbezi beach ni nyingi tu kando na hiyo Bagamoyo road. 👇
View: https://youtu.be/TIOev2gMV7A. Yani wewe ndio utufundishe sisi mbezi beach inayoishia kuona kwa picha tu.? 😂😂😂

A luxury neighborhood haifai kuwa na barabara nyingi za Lami, inafaa kuwa na barabara zote za Lami.
 
Moja ya marais wa hovyo. Ni mtu aliyetuletea matatizo makubwa sana nchini.
1. Alitunyima rais bora sana 2005, Dr Salim Ahmed Salim na kundi lake la wahuni la mtandao.
2. Kundi lake la mtandao lilijihusisha na ufisadi mkubwa kama: TICTS bandarini, EPA, ESCROW, RIchmond.
3. Samia ni janga lingine la Kikwete Tanzania, kwakua alikuwa sio chaguo la Magufuli, magufuli alichagua Dr Hussein Myinyi, Kikwete alipeleka jina la Samia kwa magufuli, akaenda nayo mawili kamati kuu na kuingia na ajenda ya gender kumchomeka Samia kama kibaraka wake kwenye serikali ya Magufuli na ndio alikuwa akitoa siri za serikali.
4. Bila kusahaui kundi lake ndio linaongoza chama na serikali: Chongolo, Makamba both mdogo na mkubwa, Kinana, Nape.

Sijawahi msikia akiongea anything intellectual.
Unapambana kulinda legacy……!!
 
Wow .. nilikua nataka uongee hyo statement kwahiyo umekuja kwenye mtego wangu. Barabara za lami mbezi beach ni nyingi tu kando na hiyo Bagamoyo road. 👇
View: https://youtu.be/TIOev2gMV7A. Yani wewe ndio utufundishe sisi mbezi beach inayoishia kuona kwa picha tu.? 😂😂😂

Anakwambia mambo ya barabara ikiwa hio karen sehem wanayoitegemea ina barabara za vumbi kila kona 😅😅😅 na akibisha nitag nikuletee chupi zake mara moja
 
Exports za Tanzania zimepita za Kenya hasa kwenye "Manufactured goods" ndani ya miaka miwili iliyopita

Source ni 'trust me bro'.

Also, we know Tanzania exports over $3 billion in mostly unprocessed gold annually, for processing in South Africa and UAE.

That's 50% of your entire export earnings.
Kenya has no significant mineral exports, and no single item dominating the entire export earnings.

In short, Bongolala has nothing going for it, and minus the gold, you'd be no better than Burundi.
 
Back
Top Bottom