Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I always like this place
20230815_195254.jpg
 
Nimetembea TZ na kila mahali bando, bando, bando.
WIFI huko ni kama unicorn. Inapatikana tu kwa mahoteli.

The vast majority of Tanzanians in towns and cities have no WiFi in their homes.
The opposite is true in Kenya.
Jambo la kwanza unapotembea kwa Mkenya (urban areas), hata kabla ya kupewa maji, ni kupewa password ya WiFi.
Na WiFi sio ya 'bando'... ni ya Fibre optic cables.

Sasa, si kwanza mpatie WaTZ WiFi kabla ya kupeleka Uganda.
Tanzania gani ulitembea ww 😅😅😅 au ww unafkiri sisi kenya hatuijui
 
Bora watu wacheze, ndo mwanzo tu. Mtalia!!!
View attachment 2718362
Viwanja vinaenda vikiimarishwa na kuongezeka. Muda, subirini.
Dandora hapa unakamilika. City Stadium, ujenzi umeanza!!!
View attachment 2718363
Hapa hakuna viwanja mzee wangu, CCM wamiliki hizi takataka miaka mingi mno iliyopita. Saiv tunajenga viwanja vitatu vipyaa vyenye standards za FIFA kaa kwa kutulia ujionee ..
 
Back
Top Bottom