Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni public. Na elite owners own farms but a good chunk of Kenyans have their farms too, kwani wamerent mashamba ya ushagooo? Almost any Kenyan family has a farrrm
OK...pls nitajie jina la hilo eneo nifanye utafiti wangu....usipotinajia nitatumia maarifa mengine kupata jina la hapo.
 
Kama haiwezi basi subiri tu 😀😀 safari hii hamutoki kwa tanzania tumewabana kila kona
mmebana nani? pengine mmejibana haja kubwa
emoji23.png
emoji23.png
.e
Kenya is still EA hub
Our port is largest
our airport is largest
our capital city is the hub for multinationals
we have SGR, you dont have
we are building light rail
we are building tallest skyscrapers in the continent, skyscrapers that even Egypt wishes to have
we have bigger GDP and it is expanding
our ICT sector is among the best in Africa
our flower, tea industry is among the best in the world
our airline KQ is the best in EA
our second port Lamu is beginning operations
our resident is the most powerful of all presidents in EA
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
naona mmetubana kweli
emoji23.png
emoji23.png
 
narudia tena,nina uhakika 100% hilo pori halimilikiwi na taasisi ya umma bali anamiliki mtu mmoja kutoka zile elite family zinazotawala kenya.
hamna chenu hapo.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sawa...hio forest ni mali ya Kenya..sio mali ya mtu
emoji23.png
emoji23.png
ignorance is a disease
ebd71aa9c6df5fbdeae53faabc6e005f.jpg
 
hey buda sio kwamba sinjuangi kubonga sheng,mi ni mubaya jo...but sometimes naignore kubonga ju ni lugha ya ma-jobless, mahaslaz na wakora wa nai.

huwezi pata decent kenyans wakibonga sheng.
Kk hiyo ni kama MTU akulazmishe utembee km masanja kwenye comedy... Ulemavu ule.. Km hujui hujui tu.. Hakuna sheng wala shang... Mbn Mombasa wananyoosha muruwa kabisa
 
Ila Jirani zetu wanauona uzungu Mali sana! Na naona watapotelea kwenye race ya kuwa wazungu hata identity yao is fading...slowly.. Acting all white now!! SMH
 
cape town and johannsburg has slums, brazil has them...even tz has slums in rural areas stop pretending like you live in new york
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Ha ha ha..that's rich coming from you..if u know what I mean!
 
Wewe Upanga unaisikia au unaijua? Barabara zisizo na lami Upanga zinahesabika, tena hizo ni kwamba lami imebomoka. Naweza kukutajia mitaa ya Upanga mmoja mmoja na kukwambia upi una lami upi hauna!
Malik-lami
Mindu-lami
Kalenga-lami
Lugalo-lami
Magore-Lami
United Nations-Lami
Alikhan-Lami
Sea View vibarabara vyote vimewekwa lami.
Isio na Lami ni mitaa midogo kama Undali,Kitonga,Nyangoro etc.
Aliekusimulia mwambie akusimulie vizuri.
Anajua Project Management au anadhani wote huku wehu! Ujenge lami ilhali hujakamilisha upanuzi Wa sewer... Na sie sewer line zinapita barabarani... Plus lazima tuzipanue maana upanga haikudesigniwa kuwa na high rise nyingi kiasi hiki... Nilikuwaga naamini wana uelewa mkubwa nao naona Hamna kitu bora akinaniii...hawanaga makuu I swear
 
Back
Top Bottom