Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kusema ukweli i have never come across such a product in kenya if thats what you mean by taking over.
sio wewe tu,karibia wakenya wote wa jf wanasema jambo hilohilo.

ila jambo la kushangaza na kufurahisha,wakenya wengi wa instagram,fb na twitter wanaonekana kuchangamkia kwa kasi sana product ya diamond karanga.
 
I thought this thread was about development and not peanuts. We are debating with our brothers in Tanzania who are way out of topic. I suggest people to stick to topic otherwise tutapata watanzania wenzetu wameingiza story za kupika.
buda inaonekana wewe sio mwenyeji wa hii thread,sisi tulio active nayo since day one tunajua namna ya ku-trend nayo.

lengo hasa la kuleta issues za diamond karanga ni kwasababu some of your fellows hawataki kuamini kuwa product ya diamond karanga inapatikana kenya.
wanaonyesha chuki ya dhahiri kuhusu product hiyo.

kwa kulitambua hilo,tumeamua kuwaonyesha kuwa diamond karanga is in kenya na imetokea kupendwa sana na baadhi ya wakenya.
 
buda inaonekana wewe sio mwenyeji wa hii thread,sisi tulio active nayo since day one tunajua namna ya ku-trend nayo.

lengo hasa la kuleta issues za diamond karanga ni kwasababu some of your fellows hawataki kuamini kuwa product ya diamond karanga inapatikana kenya.
wanaonyesha chuki ya dhahiri kuhusu product hiyo.

kwa kulitambua hilo,tumeamua kuwaonyesha kuwa diamond karanga is in kenya na imetokea kupendwa sana na baadhi ya wakenya.
"imependwa sana na wakenya"
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
I thought this thread was about development and not peanuts. We are debating with our brothers in Tanzania who are way out of topic. I suggest people to stick to topic otherwise tutapata watanzania wenzetu wameingiza story za kupika.
lenga hizo comment zake za njugu za ufala...he's trynna get to you...then he will bring a comment about Kibera or something..
 
kulenga=kuhepa/kukwepa.


japo kiswahili chenu ni kibovu,sisi wengine tunakielewa hivo hivo na ubovu wake.
cool...now stick to it...dont force urself to speak languages you aint accustomed to...ni aibu tupu...
emoji23.png
emoji23.png
your gonna end up like this guy
emoji116.png
emoji116.png
emoji116.png

 
Back
Top Bottom