huyo jamaa ashakuwa mkimbiziok.....hahaha.Inferiority complex.....diamond hajaenda bafuni south Africa kuimba....
this is what we call an aiport...sio lile soko mmejaza mitungi ya chang'aa
hasira hasaraNani aende kwenye Ukabila pumbavu
westlands imekuwa kwa muda...heri ata ungesema Upperhill...ndio ya juziHii miji ndio imeanza kuiva miaka ya hivi karibuni...nadhani 5yrs back hapakua ivyo
hahaha.....hiyo yenu kama ya kisumu ndio unafananisha nayo jkia
busiest airports in Africa...JKIA terminals 7.1 million passengers per annum JNIA hata 2.6 mil badoWhats the capacity of all the terminals at JKIA
busiest airports in Africa...JKIA terminals 7.1 million passengers per annum JNIA hata 2.6 mil bado
View attachment 628138
View attachment 628137
capacity ndio hio ndugu...in fact iko zaidi ya 7 mil...a new terminal was just concluded...Cjauliza mmepata passengers wangap ..kumbuka mnaweza kuwa mna overload hizo terminals .na hao 7mil wakat capacity ni 5m
leta JNIA nami nilete JKIA.....ujinga ni kufananisha JKIA na upuuzi..Nimefika JKIA mara nyng sana ni upuuzi..kuna kipind walikuwa wanatumia ma godown kama terminal..yan wakenya wanapenda kujisifia ujinga sana ...terminal 3 haitakamatika ..iko 66%.complete this tym ..hiv JKiA inaweZa pokea A380???
leta JNIA nami nilete JKIA.....ujinga ni kufananisha JKIA na upuuzi..




hii picha ya mwaka gani?![]()
Endeleni kupost ma godown![]()