Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapa naona kuna upigaji! kwahiyo hapo ulipo hauna viwango vya CAF na FIFA?
Na Mama yenu yupo kimya tu kajifungia tuliii, watu wanakula kwa urefu wa kamba yao, kwanini hizo pesa basi wasingekarabati shamba la bibi uwe kama wa Mkapa alafu wa Mkapa waje kuukarabati mwakani baada ya shamba la bibi kukamilika? Kumbuka wanasema utakamilika mwakani mwezi wa saba, je timu zetu zitacheza wapi? Unajua mambo mengine ni ya kipumbavu sana, wameona mama hajui kitu basi wanafanya wanavyoweza tu.
 
Upigaji hakuna hapo, na gharama ni zaidi ya 31 billion.

1. Lift mbili mpya
2. Viti vyote vya mashabiki kutolewa kuwekwa vipya na vua kisasa zaidi
3. Bench la wachezaji wa akiba kuwekwa la kisasa na viti VIP
4. Mfumo wa taa. Mfumo wa taa uliokuwepo ni taa za kilofa amzo zikizimika hutumia zaidi ya 30mnts kuwaka tena, sasa zzinawekwa mpya na za kisasa na nyingi zitakazowaka kwa sekunde zikizima
5. Screens za matangazo ya Biashara uwanja mzima
6. Two big screen/Mpira na matokeo
7. Mgahawa
Mambo ni mengi kwa kweli na kitakwenda kuwa kiwanja bora sana Africa. Ujenzi utakamilika next year July, nafikiri waona ni ukarabati wa nguvu mno.
Huo ukarabati wangeuhamishia pale shamba la bibi ili tuwe na viwanja viwili vya kimataifa, alafu huko mbele tutafute pesa kwa ajili ya uwanja wa Mkapa.
 
Watabisha kwamba hapa sio Dom 🔥🔥
08dde830a5793fe41d1ac5110c536527.png
de2a54784a7cdc60f786d95acd774108.png
efd4f9ed1711e1568bc7671728a8eb95.png
 
Back
Top Bottom