Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapa naona kuna upigaji! kwahiyo hapo ulipo hauna viwango vya CAF na FIFA?
Upigaji hakuna hapo, na gharama ni zaidi ya 31 billion.

1. Lift mbili mpya
2. Viti vyote vya mashabiki kutolewa kuwekwa vipya na vua kisasa zaidi
3. Bench la wachezaji wa akiba kuwekwa la kisasa na viti VIP
4. Mfumo wa taa. Mfumo wa taa uliokuwepo ni taa za kilofa amzo zikizimika hutumia zaidi ya 30mnts kuwaka tena, sasa zzinawekwa mpya na za kisasa na nyingi zitakazowaka kwa sekunde zikizima
5. Screens za matangazo ya Biashara uwanja mzima
6. Two big screen/Mpira na matokeo
7. Mgahawa
Mambo ni mengi kwa kweli na kitakwenda kuwa kiwanja bora sana Africa. Ujenzi utakamilika next year July, nafikiri waona ni ukarabati wa nguvu mno.
 
Upigaji hakuna hapo, na gharama ni zaidi ya 31 billion.

1. Lift mbili mpya
2. Viti vyote vya mashabiki kutolewa kuwekwa vipya na vua kisasa zaidi
3. Bench la wachezaji wa akiba kuwekwa la kisasa na viti VIP
4. Mfumo wa taa. Mfumo wa taa uliokuwepo ni taa za kilofa amzo zikizimika hutumia zaidi ya 30mnts kuwaka tena, sasa zzinawekwa mpya na za kisasa na nyingi zitakazowaka kwa sekunde zikizima
5. Screens za matangazo ya Biashara uwanja mzima
6. Two big screen/Mpira na matokeo
7. Mgahawa
Mambo ni mengi kwa kweli na kitakwenda kuwa kiwanja bora sana Africa. Ujenzi utakamilika next year July, nafikiri waona ni ukarabati wa nguvu mno.
Viwanja vya shakahola haviwezi kufikia levels hizi za CAF kamwe
 
Upigaji hakuna hapo, na gharama ni zaidi ya 31 billion.

1. Lift mbili mpya
2. Viti vyote vya mashabiki kutolewa kuwekwa vipya na vua kisasa zaidi
3. Bench la wachezaji wa akiba kuwekwa la kisasa na viti VIP
4. Mfumo wa taa. Mfumo wa taa uliokuwepo ni taa za kilofa amzo zikizimika hutumia zaidi ya 30mnts kuwaka tena, sasa zzinawekwa mpya na za kisasa na nyingi zitakazowaka kwa sekunde zikizima
5. Screens za matangazo ya Biashara uwanja mzima
6. Two big screen/Mpira na matokeo
7. Mgahawa
Mambo ni mengi kwa kweli na kitakwenda kuwa kiwanja bora sana Africa. Ujenzi utakamilika next year July, nafikiri waona ni ukarabati wa nguvu mno.
Huu mkataba unakuwaje? Watu walipiga chao?
 
Sababu ya kuzuia ngano unaijua lakini au unaongelea puani tu??😅😅😅 kama hujui uliza kwanza 17 hao ni presidents ila wawakilishi wamekwenda wa nchi jumla 49 na tanzania ameeda waziri mkuu kwenu ameenda nani??
Hao wawakilishi hakuna trade deals/policies yeyote wanaweza funga na Putin, wako hapo kuongeza idadi. Russia account only 1% of foreign investment in Africa, huo mkutano ni more political na waafrika tushaamka.
 
Back
Top Bottom