Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kama hakuna minister mumepeleka basi africa nzima wamekwenda 49 out 54 kwetu sisi kaenda waziri mkuu wa nchi just imagine uganda kaenda mseven, burundi kaenda na congo kaenda rais wa nchi yani east africa nzima imekwenda kasoro nyinyi

Alaf tukiwaambia munalaana nyinyi munakasirika africa ilivokua inapigania uhuru nyinyi mulisaidia nchi gani?? Mulijitenga pekeanu mukaacha waafrica wenzenu wanahangaika alaf leo munaongea nn hapa
Muulize tena kuwa ana uhakika kuwa hawaja peleka mwakilishi
 
Unasoma kichina kikakusaidie nn kuna watu wanajifunza kifaransa kikasaidie wapi??

Kwan wanaojifunza kiswahili nchi zingine zitawasaidia wapi??

Alaf ukiambiwa ww dalali unakataa kweli?
Hawezi kujibu ,sababu ya akili ndogo aliyonayo ata skip au kujibu pumba
 
Back
Top Bottom