Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao wawakilishi hakuna trade deals/policies yeyote wanaweza funga na Putin, wako hapo kuongeza idadi. Russia account only 1% of foreign investment in Africa, huo mkutano ni more political na waafrika tushaamka.
49 out of 54 wamekwenda bado ww unataka kuwaona wote hawana akili na mwenye akili ni ww usiekua na uhakika wa kula milo mitatu??🤣🤣🤣🤣

Ukimsikia mchina basi nyuma yake kuna russia in any how 😁😁 hii nakupa ni akili kubwa ww huwez kuijua

Russia huiwezi my friend ni super power ww kwa sasa hangaikia ugali 😁😁
 
Nimekuuliza una hakika hamujapelekea muakilishi au simple like that 🤣🤣🤣 ndio maana muna ukabila nyinyi kwasababu mumeshiriki ubinafsi mbaya sana hamuna utu kabisa kondooo nyinyi
Hakuna minister tulipeleka, unabisha bado.?

Kenya’s President William Ruto will skip the upcoming Russia-Africa Summit, choosing, instead, to be represented by the African Union.
 
Hakuna minister tulipeleka, unabisha bado.?

Kenya’s President William Ruto will skip the upcoming Russia-Africa Summit, choosing, instead, to be represented by the African Union.
Sasa Kama Sudan tu inawatoa jasho, bado unazungumza kuhusu Urusi?, Kenya kwa Urusi ni sawa na sisimizi kwa tembo, kwanza hamna faida yoyote kwa Urusi zaidi ya kuomba chakula.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna minister tulipeleka, unabisha bado.?

Kenya’s President William Ruto will skip the upcoming Russia-Africa Summit, choosing, instead, to be represented by the African Union.
Sasa kama hakuna minister mumepeleka basi africa nzima wamekwenda 49 out 54 kwetu sisi kaenda waziri mkuu wa nchi just imagine 😅😅😅😅😅 uganda kaenda mseven, burundi kaenda na congo kaenda rais wa nchi yani east africa nzima imekwenda kasoro nyinyi 😁😁😁

Alaf tukiwaambia munalaana nyinyi munakasirika africa ilivokua inapigania uhuru nyinyi mulisaidia nchi gani?? Mulijitenga pekeanu mukaacha waafrica wenzenu wanahangaika alaf leo munaongea nn hapa
 
Upigaji hakuna hapo, na gharama ni zaidi ya 31 billion.

1. Lift mbili mpya
2. Viti vyote vya mashabiki kutolewa kuwekwa vipya na vua kisasa zaidi
3. Bench la wachezaji wa akiba kuwekwa la kisasa na viti VIP
4. Mfumo wa taa. Mfumo wa taa uliokuwepo ni taa za kilofa amzo zikizimika hutumia zaidi ya 30mnts kuwaka tena, sasa zzinawekwa mpya na za kisasa na nyingi zitakazowaka kwa sekunde zikizima
5. Screens za matangazo ya Biashara uwanja mzima
6. Two big screen/Mpira na matokeo
7. Mgahawa
Mambo ni mengi kwa kweli na kitakwenda kuwa kiwanja bora sana Africa. Ujenzi utakamilika next year July, nafikiri waona ni ukarabati wa nguvu mno.
Hapo kidogo umenishawishi aisee. Ila 31 billion ni pesa nyingi sana aisee.
 
Mbona english mumejifunza na kichina watu wanajifunza au ubaya uko wapi?? Mbona sisi tunalazmisha kiswahili kiongelewe africa na dunia???🤣🤣🤣aliesema ww ni dalali kweli hakukosea manake akili zako zimekaa kibinafasi tu
Usome Kirusi Ili ukakitumie wapi?
 
Hahahaha
Screenshots_2023-07-28-10-05-38.png
 
Unasoma kichina kikakusaidie nn kuna watu wanajifunza kifaransa kikasaidie wapi??🤣

Kwan wanaojifunza kiswahili nchi zingine zitawasaidia wapi??

Alaf ukiambiwa ww dalali unakataa kweli?🤣🤣
China ndio second boss wa uchumi Duniani na Wachina wako all over the World sio sawa hao wapuuzi njaa wa Russia.
 
Back
Top Bottom