Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Boss, only 17 heads of state attended the summit, idadi ndogo Sana ukilinganisha na mkutano uliopita. Yote ni sababu Russia kuzuia ngano ktoka Ukraine kufika Africa.
Sababu ya kuzuia ngano unaijua lakini au unaongelea puani tu??😅😅😅 kama hujui uliza kwanza 17 hao ni presidents ila wawakilishi wamekwenda wa nchi jumla 49 na tanzania ameeda waziri mkuu kwenu ameenda nani??
 
This is a shame for Africans to depend on European countries for agriculture products, remember European countries are not agricultural economies like African countries, why you think "Ngano" from Ukraine and Russia should be an issue for Africa?, huu ni ujinga kwa waafrika, na wewe unadhani ni jambo la maana Kama kweli hiyo ndio sababu, ila sidhani Kama hiyo ndio sababu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ni aibu...inasikitisha kuona mpaka sasa bado unasakamwa na kivuli cha ukoloni na pia tunashindwa kukabili nguvu ya globalism.

Zamani ngani ilikua hawa inatumika na watu wa pwani tu, lakini siku hizi mpaka wamasai wanakunywa supu na chapati asubuhi.

Ngani haitakiwi kabisa kuwa tatizo kwetu maana sio chakula chetu cha asili. Ila ndo ishakuwa hivyo.

Ndo maana siku zote nawaheshimu sana wachina kwa kujitahidi sana kudhibiti vitu vinayokuwa assimilated na jamii yao kutoka nje.
 
Sababu ya kuzuia ngano unaijua lakini au unaongelea puani tu?? kama hujui uliza kwanza 17 hao ni presidents ila wawakilishi wamekwenda wa nchi jumla 49 na tanzania ameeda waziri mkuu kwenu ameenda nani??
Mbna tupeleke mtu? Tunapata faida gani kutoka urusi?
 
kama Magufuli sio? Kuna makesi yatakayoigharimu nchi si chini ya $ 1 bln kutokana na upuuzi wake!
Wewe ndio unaita upuuzi, inasikitisha kwakweli. Kwahiyo kupunguza kiasi cha over $8B kitachogharimu taifa kwa muda usiojulikana na kuturahisishia kulipa hiyo unayodai ni $1B ni upuuzi?

Wewe ni spesho kesi mwana, sio buree 😂 😂
 
Back
Top Bottom