Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤪🤪🙄🙄

Viongozi wa Africa walioskip huu mkutano wa kindezi nawapa salute.Ni mkutano wenye dharau kubwa kwa Africa.biashara ya Urusi na Africa ni $14b yeye anaimport not more than $2bil na katika hiyo ni katika mataifa matano au sita yaani Egypt,Algeria,South Africa,Eritia na Sudan.Import yetu kubwa ni Silaha tu halafu tunafunga safari kwenda kwa mtu tunayempa faida ni ujuha wa Hali ya juu sana
 
Viongozi wa Africa walioskip huu mkutano wa ndezi nawapa salute.Ni mkutano wenye dharau kubwa kwa Africa.biashara ya Urusi na Africa ni $14b yeye anaimport not more than $2bil na katika hiyo ni katika mataifa matano au sita yaani Egypt,Algeria,South Africa,Eritia na Sudan.Import yetu kubwa ni Silaha tu halafu tunafunga safari kwenda kwa mtu tunayempa faida ni ujuha wa Hali ya juu sana
👏 Absolutely
 
Mbona hata Ile kesi tuliyoshindwa na kusababishia ndege kukamatwa Kule South Africa ilifanyika Tanzania na tulishindwa?, Sheria ni sheria Dunia nzima.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

So Mimi nadhani ni kutafuta watu competent na wazalendo wanaoweza kuipogania Nchi vizuri tofauti na hapo watachukua pesa Nchi ishindwe.
Natofautiana na nyinyi hapo, kwa manufaa ya nchi yetu, ni vyema tusijiingize kabisa kwenye vitanzi vya mikataba hiyo.
 
Hamna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwekeza millions of dollars halafu akakubali kutumia mahakama zetu! Uliza Rostam atakueleza vizuri!
Kama huo uwekezaji umekuwa ukituletea hasara kila siku kuna umuhimu gani wa kuendelea kuingia hiyo mikataba?
 
Back
Top Bottom