Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwingine ananiuliza purpose yake ni nini?
Huyo tangu alipokosolewa tu basi mpk kesho Tanzania imegeuka adui yake namba moja, hapendi kukosolewa anaona ni vita, kumbe unaweza kukosolewa na bado ukaipigania nchi yako mana ni yako tu hata ufanyeje, mbn Wakenya licha ya nchi lao kuwa bovu lkn bado wanalipigania hivyo hivyo
 
Huyo tangu alipokosolewa tu basi mpk kesho Tanzania imegeuka adui yake namba moja, hapendi kukosolewa anaona ni vita, kumbe unaweza kukosolewa na bado ukaipigania nchi yako mana ni yako tu hata ufanyeje, mbn Wakenya licha ya nchi lao kuwa bovu lkn bado wanalipigania hivyo hivyo
ugali ni balaa mzee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 


MY TAKE
Wale wazalendo wa JPM wameishia wapii? Ninaamini kuna law forms za Tanzania zina partnership na law firms za uko! Tusione aibu kuwatumia! Ofisi yetu ya mwanasehria Mkuu haina competent individuals!

Kwa nini kwenye shughuli zinazofanyika Tanzania, serikali ikubali (kwenye mikataba) kutumia mahakama za nje? Ujuha unaanzia hapo.

Kampuni za ulaya zinazofanya shuguli zake China zinahukumiwa kwenye mahakama za China, Kwa nini sisi mikataba yetu wakati wa serikali za Mkapa na Kikwete zilikubali ujinga huo? Na sasa huyu mama anaturudisha kule kule, huoni tatizo siyo wanasheria bali viongozi dhaifu wa serikali?
 
Kwa nini kwenye shughuli zinazofanyika Tanzania, serikali ikubali (kwenye mikataba) kutumia mahakama za nje? Ujuha unaanzia hapo.

Kampuni za ulaya zinazofanya shuguli zake China zinahukumiwa kwenye mahakama za China, Kwa nini sisi mikataba yetu wakati wa serikali za Mkapa na Kikwete zilikubali ujinga huo? Na sasa huyu mama anaturudisha kule kule, huoni tatizo siyo wanasheria bali uongozi dhaifu wa serikali?
Mbona hata Ile kesi tuliyoshindwa na kusababishia ndege kukamatwa Kule South Africa ilifanyika Tanzania na tulishindwa?, Sheria ni sheria Dunia nzima.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini kwenye shughuli zinazofanyika Tanzania, serikali ikubali (kwenye mikataba) kutumia mahakama za nje? Ujuha unaanzia hapo.

Kampuni za ulaya zinazofanya shuguli zake China zinahukumiwa kwenye mahakama za China, Kwa nini sisi mikataba yetu wakati wa serikali za Mkapa na Kikwete zilikubali ujinga huo? Na sasa huyu mama anaturudisha kule kule, huoni tatizo siyo wanasheria bali viongozi dhaifu wa serikali?
Jibu alitoa Rostam kwamba Mwekezaji anatafuta mahala ambapo anaamini pesa yake inaweza kuwa salama baada ya uamzi.

Kwamba Mahakama za ndani mara nyingi zinaingiliwa hivyo Wakuu wanaweza piga simu au mpa jaji maelekezo kwamba ya uamzi vinginevyo hana kazi,rejea Kauli za Jiwe kwamba Serikali ilishindwa tena kesi Jaji na mawakili hamna kazi.

So Mimi nadhani ni kutafuta watu competent na wazalendo wanaoweza kuipogania Nchi vizuri tofauti na hapo watachukua pesa Nchi ishindwe.

Mwisho tuepuke au kupunguza mazingira yanayoweza tupelekea kwenye kesi kadiri inavyowezekana
 
Itapendeza sana hii, nafikiri hata marais watakuwa wanaapishwa hapa, very professional aisee.
Eneo limekaa kimkakati sana hilo lipo karibu na Ile hotel ya nyota 5 ya jeshi na golf course kubwa inayojengwa pia inapitiwa na ring road kwa pembezoni na lazima kutakua na flyover sababu barabara ya kutoka morogoro itaintercept na ring road, na ni km chache sana Ihumwa dry port ipo.
 
Kwa nini kwenye shughuli zinazofanyika Tanzania, serikali ikubali (kwenye mikataba) kutumia mahakama za nje? Ujuha unaanzia hapo.

Kampuni za ulaya zinazofanya shuguli zake China zinahukumiwa kwenye mahakama za China, Kwa nini sisi mikataba yetu wakati wa serikali za Mkapa na Kikwete zilikubali ujinga huo? Na sasa huyu mama anaturudisha kule kule, huoni tatizo siyo wanasheria bali viongozi dhaifu wa serikali?
Hamna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwekeza millions of dollars halafu akakubali kutumia mahakama zetu! Uliza Rostam atakueleza vizuri!
 
Back
Top Bottom