Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,688
- 107,131
"Dont dare Kenya" huku anapatwa na kigugumizi!Ona nyang'au zilivyokuwa hopeless [emoji1787][emoji1787] wanataka vita na Sudan sasa View attachment 2700051
"Dont dare Kenya" huku anapatwa na kigugumizi!Ona nyang'au zilivyokuwa hopeless [emoji1787][emoji1787] wanataka vita na Sudan sasa View attachment 2700051
Lakini watanzania huwa na Ushamba hatari.
Hiyo ni quality gani!?
Look at the roads in Kenya. Make it even better, Turkana
View attachment 2699847View attachment 2699848View attachment 2699849View attachment 2699851
We can step on you 🤣🤣🤣🤣🤣Ona nyang'au zilivyokuwa hopeless [emoji1787][emoji1787] wanataka vita na Sudan sasa View attachment 2700051
Ona nyang'au zilivyokuwa hopeless [emoji1787][emoji1787] wanataka vita na Sudan sasa View attachment 2700051
Viongozi wetu ndio wanaotuuza mfano huu mkataba wa DP World inafaa tuchukue hoja zinazolalamikiwa na kurekebisha vifungu vya mkataba ili tuepuke shari huko mbeleni maana naona taabu itakayotukuta huko mbele na uwezo wakuwajibisha walioupitisha ikiwa Taifa litaingia hasara hatuna.Natofautiana na nyinyi hapo, kwa manufaa ya nchi yetu, ni vyema tusijiingize kabisa kwenye vitanzi vya mikataba hiyo.
Investment duniani especially kwa third world countries huwa guaranteed na MIGA Multilateral Investment Guarantee a world bank group.Kama huo uwekezaji umekuwa ukituletea hasara kila siku kuna umuhimu gani wa kuendelea kuingia hiyo mikataba?
Hata sasa hivi wengine wanapinga vifungu vya mkataba vya DP World ila wengine wanashinikiza vipite hivyo hivyo je hili si tatizo? Uzalendo uko wapi?
Umesahau kuongezea neno International hapo [emoji16]The largest roundabout in East Africa.
Rift Valley Kenya. 0.67km
View attachment 2700107View attachment 2700106
Yet you are excited about a jua kali roundabout! Thats really gross [emoji13]We don't post a lot of car/bus pictures here from Kenya as we are not excited about simple things.
View attachment 2700114
Bro, hatuna kiongozi hapo, hawa mamuluki tulionao ni mapandikizi tuu ili kutuharibia uchumi wetu. Ukitaka kujua kama kuna kiongozi au la, angalia coverage anayopata kwenye vyombo vya habari kama BBC, kama kuna negative coverage ujue huyo ni kiongozi wetu, zaidi ya hapo ni pandikizi.Viongozi wetu ndio wanaotuuza mfano huu mkataba wa DP World inafaa tuchukue hoja zinazolalamikiwa na kurekebisha vifungu vya mkataba ili tuepuke shari huko mbeleni maana naona taabu itakayotukuta huko mbele na uwezo wakuwajibisha walioupitisha ikiwa Taifa litaingia hasara hatuna.
Don't forget 😁😁😁New police cars to replace a few destroyed in the demos.
View attachment 2700109
Unajuwa Nyerere alikataaga haya mambo, baadhi ya watu walimwona mjinga ila sasa yanatutokea puani. kiufupi hawa jamaa siyo wajomba zetu, kamwe hatuwezi kushinda kwenye mahakama zao, sheria hizi hazikuwekwa kwa ajili yetu.Investment duniani especially kwa third world countries huwa guaranteed na MIGA Multilateral Investment Guarantee a world bank group.
Tanzania like any other country is a signatory to MIGA na MIGA has its own dispute resolution mechanism na sheria zitakazotumika.