Hii habari unayo??🤣🤣The quality of appartements in Nairobi
View attachment 2699009
Leo ni machakos kesho ni Nairobi metropolitan 🤣🤣🤣
Tunaelewa wewe ni primary school dropout, tunajua hujui maana ya metropolitan.Leo ni machakos kesho ni Nairobi metropolitan 🤣🤣🤣
Aisee Nairobi ni kama Choo cha jela 😂😂
Nairobi bila counties nyingine 7 haisimami mbele ya Dar 😂😂😂Tunaelewa wewe ni primary school dropout, tunajua hujui maana ya metropolitan.
Watakuja wafananishe Dodoma na Konza, hawa jamaa ni makatunist kweli kweliDodoma inakuja vzr sana aisee....waache wabaki na Nairobi Nairobi....



Ila naona kuna sehemu pana nyaya za umeme zimepita juu zinaonyesha uchafu wakati mji umepangiliwa vizuri.Dodoma inakuja vzr sana aisee....waache wabaki na Nairobi Nairobi....
Na wala hatukuwa tunataka kuonesha hivi vitu kabla ya muda sema wametaka wenyewe na kelele zao, yn SGR ya Tz lkn kelele wanapiga wao, mnakumbuka hata kipindi tunaanza kununua ndege tulileta Bombardier kwanza jamaa wakapiga kelele as if hawajui kwamba dreamliner na Airbus zilikuwa kiwandani zinatengenezwa, lkn hatukuwaonesha mpk zikaisha zikaletwa, ila hii ilikuwa haina jinsi zaidi ya kuwaonesha mapema








Yaani najisikia Raha kuwa mtanzania tu,ila Magu,dah apumzike Kwa amani 🙏😔Na wala hatukuwa tunataka kuonesha hivi vitu kabla ya muda sema wametaka wenyewe na kelele zao, yn SGR ya Tz lkn kelele wanapiga wao, mnakumbuka hata kipindi tunaanza kununua ndege tulileta Bombardier kwanza jamaa wakapiga kelele as if hawajui kwamba dreamliner na Airbus zilikuwa kiwandani zinatengenezwa, lkn hatukuwaonesha mpk zikaisha zikaletwa, ila hii ilikuwa haina jinsi zaidi ya kuwaonesha mapema![]()