Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Viongozi wa Africa walioskip huu mkutano wa kindezi nawapa salute.Ni mkutano wenye dharau kubwa kwa Africa.biashara ya Urusi na Africa ni $14b yeye anaimport not more than $2bil na katika hiyo ni katika mataifa matano au sita yaani Egypt,Algeria,South Africa,Eritia na Sudan.Import yetu kubwa ni Silaha tu halafu tunafunga safari kwenda kwa mtu tunayempa faida ni ujuha wa Hali ya juu sana
Nitajie kiongozi alie skip wakat kila ambao hawakuenda wametuma wawakilishi kwa tanzania waziri mkuu kaenda utasemaje wame skip?? Alaf kwann useme mkutano wenye dharau hvi ww unajua hao warusi walikotoka na vita vya kiuchumi walivopitia mpaka leo hii unaona wanaweza tikisa dunia au ww unafkiri huyo mchina tunaemshangilia leo hujui kama nyuma ya technology yuko mrusi??😅😅😅 ukituliza kichwa vzr haya mambo utayajua vyema

Haya mambo yamekuzidi uwezo sana ww usifkiri kwann nchi za kiarabu na nchi zingine za asia pamoja na nchi za africa na south america zinakimbilia brics au unawaona hawana akili hehe huwez kuyajua haya mambo kama bado akili haijapevuka 😁😁😁
 
Usikubali chuki ikutawale kiasi cha kutoona mema yaliotendwa na watu wema na kushindwa kukemea uovu iliofanywa na Kikwete.


Unanyang’anya watu leseni zao kibwege tu alafu unawapa ndugu zako wachimbe then unashtakiwa unaanza kulaumu regime nyingine? Ebu tuweni serious aisee…..!!
 
Unanyang’anya watu leseni zao kibwege tu alafu unawapa ndugu zako wachimbe then unashtakiwa unaanza kulaumu regime nyingine? Ebu tuweni serious aisee…..!!
Ndo hapo sasa, huwezi kueleweka mzee! Ni watu wenye upeo mpana wanaweza kukuelewa ile Taasisi ya Urais inahitaji Hekima ya hali ya juu! Mimi naona ifike mahali mali za wahusika zitaifishwe kulipia fidia tukianza na za JPM mwenyewe!
 
Tanzanians build a few roads and think they are the best. Look at the roads in Kenya
View attachment 2700108
Aliyekuambia Tanzania kuna few roads ni nani? Hizo picha za barabara za Kenya mnazileta humu kila siku, zimejaa kila kona ya Tanzania. Hata wilaya ya Masasi ina barabara kama hizo.
Kigoma zimesambaa mitaa yote. Mikoa mingine ndio usiseme, hizo barabara ni vitu vya kawaida huku Tz
Screenshot_2023-07-27-10-15-18-150_com.facebook.lite.jpg
 
Viongozi wa Africa walioskip huu mkutano wa kindezi nawapa salute.Ni mkutano wenye dharau kubwa kwa Africa.biashara ya Urusi na Africa ni $14b yeye anaimport not more than $2bil na katika hiyo ni katika mataifa matano au sita yaani Egypt,Algeria,South Africa,Eritia na Sudan.Import yetu kubwa ni Silaha tu halafu tunafunga safari kwenda kwa mtu tunayempa faida ni ujuha wa Hali ya juu sana
49/54 wamehudhuria badilisha mawazo yako dunia ishabadilika 🤣 🤣 🤣 leo marekani akisema africa hakuna kwenda chooni je hatutaenda au? bado munamawazo yakitumwa au?
 
Unajuwa Nyerere alikataaga haya mambo, baadhi ya watu walimwona mjinga ila sasa yanatutokea puani. kiufupi hawa jamaa siyo wajomba zetu, kamwe hatuwezi kushinda kwenye mahakama zao, sheria hizi hazikuwekwa kwa ajili yetu.
Upumbavu ni wetu sisi kama wananchi kuchagua viongozi wa hovyo na wao kama viongozi kuchagua watu wa hovyo kwenye nyadhifa muhimu za serikali wakati majembe yako nje mtaani.

Natamani sana ajira zipimwe kwa merit na sio partisanship.
 
Back
Top Bottom