Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
KNS shupazu at Mombasa shipyard










Umeshikwa na panic attack🤣🤣Ndio nn sasa, haya mambo ya kawaida sana huku kwetu.
Huu ndio mtumbwi mliokuwa mnaufananisha na Mv Mwanza?KNS shupazu at Mombasa shipyard
View attachment 2699729
View attachment 2699733
View attachment 2699737




Hii picha kama ni ya Mwanza basi ya kitambo sana.
Uchafu😁🐒🐒
Ushajikatia tamaa maskini ya Mungu





Hapo inaoshwa au? Sikia, Tanzania sio Kenya, tuna mfumo wa kisasa wa kuosha sio hivyo kijuakali juakali mnavyofanya nyinyi.











Ajira kwa kijana👍🏽Kenya ni makatunist sijawahi ona, hivi mtu kama huyu aoshe treni nzima pekeake atamaliza liniView attachment 2699762View attachment 2699763
Dah nimecheka kweli yaani hakuna mtambo wa kuoshea train Kunyaland










Ajira kwa vijana👍🏽Dah nimecheka kweli yaani hakuna mtambo wa kuoshea train Kunyaland
Train inaoshwa kama matatuu![]()