NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,968
I can bet over my life hujawai Fika Nairobi.Mimi Huwa nikifika Nairobi hata usingizi sipati
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
I can bet over my life hujawai Fika Nairobi.Mimi Huwa nikifika Nairobi hata usingizi sipati
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Universities za Tanzania, top notch in Africa
Hawa jamaa waongo waongo sana. Sijui wanapata faida gani kupiga watu fix.😂😂😂😂😂Tangu lini mukaendesha magari left hand side hvi nyinyi mbona mumekaa kama kondoo kazi kudanganywa na kuswagwa na wanasiasa 😅😅😅😅😅😅😅
Yani ukitaka kunidanganya mm ufanye kazi kweli kweli yani ujitoe haswa 😁😁😁
View attachment 2685266
Abuja was designed by Japanese architect Kenzo Tange. Hivi Kenzo Tange amekuwa Mtanzania?🤣🤣🤣 Tunawadesignia Hadi parliament yenu alafu mpate wapi uwezo wa kudesign city. Dodoma yenyewe iko disorganized hata usiseme. Hamna similarity yoyote between Dodoma na Abuja.FYI Abuja took Dodoma's Masterplan! Najua wivu umekupa tumbo la kuhara!
Hiyo ni twitter kila mtu ana mawazo yake, lkn haiondoi ukweli kwamba kwa sasa tuna best universities than you. FYI, UDSM kwa ss haiwezani na MUHAS. Kwa kifupi tu ni kwamba kwa sasa hakuna chuo kinawezana na Muhimbili hapa East and Central Africa thus y even Sudanese waliamua kuchagua Muhimbili over all universities in East and Central Africa, kuthibitisha hilo hata wewe umeona haya kuweka ki article chako cha mchongo kama mlivyozoea huko nyuma baada ya kugundua ukweli.Hadi Watanzania wenzako wameona list Ni bogus na upon unashangilia. Yani ujinga ingine ni ya kuona tu na macho.
Huyu dr anawajua vizuri wakunya 😄😄Tupatie population density ya eneo zima si vipicha ambavyo pia naweza kukuletea. North eastern province na ukubwa wote inawatu wasiozidi 2.5m (2019) census. Sasa je wakati wa moi?
Hao jamaa ni vichaa kweli 😄No sidewalks...Nguzo za umeme zimefungwa na vichaa kenya power..
Low quality roads..
View attachment 2685290
At any one time unakuta lorries kama 2000 mpaka 3000 waiting to cross overHakuna mpaka ulio busy kushinda Tunduma East Africa yote
Huku watu hua hawaongei sanaWatu wengi wenye matusi huwa hawana elimu ama ndio fala. Sababu, mi sioni hapa kitu cha mno jinsi unavyo hangaika na kutusi bila hoja. Unashida!? Kuna watu kama Ndinda, Game Over, etc hurusha hoja zao kistaarabu. Wanajielewa
Hata hivyo roho mbaya haijengi, ila elimu kuhusu Nairobi utapata tu.
View attachment 2685278
hii inavuka mto au ? 😀 😀 😀 😀 au inavuka mkondo wa bahari naomba majibu tafadhali1.4Km Bridge on Dongo Kundu Bypass
View attachment 2685301
Hadi Watanzania wenzako wameona list Ni bogus na upon unashangilia. Yani ujinga ingine ni ya kuona tu na macho.