umehema kuitafuta kwelikweliWanaosema uswazi barabara za vumbi wako wapi waone quality ya barabara zikiwa na streèt lights View attachment 2685323
umehema kuitafuta kwelikweliWanaosema uswazi barabara za vumbi wako wapi waone quality ya barabara zikiwa na streèt lights View attachment 2685323
Tulia Ruto na Gachagua wawafyonze hadi muite maji mma🤣🤣Sindano imekuingia vizuri….🤣🤣🤣…. I dare you say anything negative about CCM…. Wewe ni kondoo..🤣🤣🤣
Bado unaogopa CCM …🤣🤣🤣🤣…. You are evading my question….as long as you still reside in Uswaziland huwezi tamuka mambo ya CCM….wewe utambaki Magonjwa Kondoo….🤣🤣🤣🤣🤣Tulia Ruto na Gachagua wawafyonze hadi muite maji mma🤣🤣
Kazi iendeleeChoiceVariable kapumzishwa tena? Hivi unafanya nini mpaka unakula ban kila siku, wakati sisi wengine kwa miaka 16 hapa hatujawahi kula hata ban moja?
Nimeona umeungana na Malima kumpinga mama yenu kwenye bandari.Kazi iendelee
Sijawahi Pinga Uwekezaji hata siku Moja,kwanza Mimi nataka DP World waje hata kesho.Nimeona umeungana na Malima kumpinga mama yenu kwenye bandari.
Malima kaongea kiasiasa tuu ila yuko upande wa wananchi, tena kapiga kijembe cha kiushkaji kwa kusema "sio wajomba zetu". Mama na genge lake hawako upande wa wananchi.Sijawahi Pinga Uwekezaji hata siku Moja,kwanza Mimi nataka DP World waje hata kesho.
Malima hajapinga ila ameshauri terms ziwe Bora na ametolea mfano wa tulivyopigwa kwenye Madini so acheni uchochezi.
Juja ni kiambu na athi ni machakos, Nairobi haiwezi peke yake kupambana na dar bila kuungana na machakos, kiambu, thika, murang'a, kajiado 🤣🤣🤣 lazima ziwe caunties 7 versus 1 Dar na bado hazitoboiActually Nairobi has roughly a diameter of 56Km though some cross-sections go beyond 70Km.
View attachment 2685248
This is how the far south looks like, 30 Km from the CBD
View attachment 2685249View attachment 2685250View attachment 2685251View attachment 2685252
SawaMalima kaongea kiasiasa tuu ila yuko upande wa wananchi, tena kapiga kijembe cha kiushkaji kwa kusema "sio wajomba zetu". Mama na genge lake hawako upande wa wananchi.
Basi apishe kiti kama hakubaliani sio lazima kufanana maoniMalima kaongea kiasiasa tuu ila yuko upande wa wananchi, tena kapiga kijembe cha kiushkaji kwa kusema "sio wajomba zetu". Mama na genge lake hawako upande wa wananchi.
🤣🤣🤣🤣🤣 Nilishawaambia Nairobi ni finyu kama tundu la sindano kusimama na dar lazima zijiunge counties 7 🤣🤣🤣Ruiru ni kiambu county so?? 😅😅😅 ukiambiwa nairobi ni ndogo sana kubali
696km sq my friend au ni uongo
View attachment 2685254
Na mlolongo iko machakos county kwann unakua muongo hvi ukidanganya watu unapata nn au unashiba ???🤣🤣🤣🤣
View attachment 2685257
Si huwa mnasema mobius mnatengeneza wenyewe from the scratch shakahola? 🤣🤣🤣🤣🤣Hivi mambo ya Magari achana nayo, Kenya ni league ingine.
View attachment 2685256
Hapa ni machakos we ng'ombe sio Nairobi, Nairobi ni ndogo kama Choo cha jela haijai mkononi bila kuungana na caunties nyingine 7
Mkenya kaomba picture kwenye gari ya mtanzania 😂😂
Yeye katupa jiwe gizani, kama watataka kumtoa hiyo ni juu yao, angalau siyo mnafiki kama wengine wakipewa ulaji.Sawa
Basi apishe kiti kama hakubaliani sio lazima kufanana maoni
Mkuu BRT phases zote zitakua na km 140,Unasema?....hebu count BRT lanes zote more than 60km pekee zote huwa na sidewalks
Mfano hii Kawawa road
Kaeni kwa kutulia acheni sifa za uongoView attachment 2685293View attachment 2685294
Hii picture ipumzike sasa, only at the central bank tofauti na haka kaeneo hamna mbadala