Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What about makuru kayaba slums, mathare, kariobangi, umoja slums etc au nikupe list we kondoo au unafkiri sisi wageni nairobi😅
View attachment 2685231
Haya una uhuru wakulinganisha Dar kwa hizo slums zote maanake mtu na kakake. Chukua Masaki Linganisha na Githurai, Makumbusho na Kawangware Mwananyamala hata Uthiru inaishinda, hivo sasa
 
Southern bypass interchange
20230711_214459.jpg
 
Haya una uhuru wakulinganisha Dar kwa hizo slums zote maanake mtu na kakake. Chukua Masaki Linganisha na Githurai, Makumbusho na Kawangware Mwananyamala hata Uthiru inaishinda, hivo sasa
Ww na mzungu aliekweka satellite hewani nani mwenye akili ??😅😅😅😅 ww kondoo uwe na akili kuliko google earth ??

Wewe kwanza mwanamyamala unaijua au makumbusho 😅😅😅😅😅
 
Hapo ni maeneo duni Nairobi na hatujawai sugarcoat kinyume na nyinyi. But majority ya Nairobi ipo well planned ukilinganisha na dar
Labda kwa zile school estate,(gate estate)
Nje ya hapo no new special mnaweza kushow
 
Actually Nairobi has roughly a diameter of 56Km though some cross-sections go beyond 70Km.
View attachment 2685248
This is how the far south looks like, 30 Km from the CBD
View attachment 2685249View attachment 2685250View attachment 2685251View attachment 2685252
Ruiru ni kiambu county so?? 😅😅😅 ukiambiwa nairobi ni ndogo sana kubali
696km sq my friend au ni uongo
Screenshots_2023-07-11-21-57-44.png




Na mlolongo iko machakos county kwann unakua muongo hvi ukidanganya watu unapata nn au unashiba ???🤣🤣🤣🤣
Screenshots_2023-07-11-21-59-25.png
 
Hivi mambo ya Magari achana nayo, Kenya ni league ingine.
View attachment 2685256
Tangu lini mukaendesha magari left hand side hvi nyinyi mbona mumekaa kama kondoo kazi kudanganywa na kuswagwa na wanasiasa 😅😅😅😅😅😅😅

Yani ukitaka kunidanganya mm ufanye kazi kweli kweli yani ujitoe haswa 😁😁😁
Screenshots_2023-07-11-22-10-25.png
 
Back
Top Bottom