Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaijua population density ya hizo sehemu, ulitaka tujenge barabara pasipo na watu wakati huo. Kenya sio Tanzania ambayo watu wazaana Kama kunguni. Kama tuliwapiga gap wakati huo ambapo hizo sehemu zilitelekezwa, saivi ndo mtatuweza?
Tanzania na kenya ni wap watu wanazaana kama kunguni?

Kenya mko more than 57million
TANZANIA na ukubwa wote huu tuko 61 tu...
 
Kumepauka kama jehanamu 🤣🤣
thumb_1430_800x420_0_0_auto.jpg
 
Zile kilometres zenu za lami mnazitoa wap...kama barabara kubwa kama hii haina lami...

Tanzania hakuna barabara long kiasi hicho haina lami...na Tz ni kubwa karibu mara mbili ya kenya...nyie kilometres zote mnazitoa wap kama hampiki data
Hatupiki data, tumejenga interchange mpaka vijijini saivi tunaingia jangwani.
 
Unaijua population density ya hizo sehemu, ulitaka tujenge barabara pasipo na watu wakati huo. Kenya sio Tanzania ambayo watu wazaana Kama kunguni. Kama tuliwapiga gap wakati huo ambapo hizo sehemu zilitelekezwa, saivi ndo mtatuweza?
🤣🤣🤣 Namba za barabara za kupika mmeanza kuumbuka sasa 🤣🤣🤣🤣 km zote karibu 1k hazina lami.. kummke. Kwa hali hii no wonder JMK alisema km of paved roads in Tz kwa mataifa jirani mnaweza weka hadi kwenye milango yenu
 
Nairobi alone ina lami 20times ya dar. Huko kwenu access roads zenu ni vumbi tupu
Nimecheka kwa nguvu mno 🤣🤣🤣 DAR is three times larger to Nairobi. Hata estate zote with in DAR kama zitakua na barabara za vumbi basi hizo main roads zinatoshana na size ya barabara zote za lami in your Nairobi.. pitia ujionee njia kubwa tu za lami ndani ya 👇
Network-Plan-of-BRT-in-Dar-es-Salaam-42.png
 
Nairobi alone ina lami 20times ya dar. Huko kwenu access roads zenu ni vumbi tupu
Ni vichekesho vya mwaka 2023 dar ni kubwa mara tatu ya nairobi dar ina barabara nyingi sana kuliko nairobi na mwisho dar ina paved road nyingi kuliko nairobi 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom